Usawa uko wapi...?????

Usawa uko wapi...?????

D2K

Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
11
Reaction score
1
Jana 2 tulishuhudia Mwananchi wa kawaida aliyekuwa akidaiwa kodi ya pango na NHC akitolewa nje na nyumba kuvunjwa,leo 2naona wizara ikiwa inadaiwa 391mil. na shirika hilo wakitolewa nje vi2 vyao 2 tena pasipo usumbufu, usawa uko wp katka hili, kwann hawa nao wasivunjiwe..???

Nani alaumiwe katika hili....?????
 
Back
Top Bottom