Usawa katika kufurahia tendo ni huu

Usawa katika kufurahia tendo ni huu

KALYANKOZILE

Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Kumekuwa na kamtindo ka wanaume kutopenda au kutojaribu kutumia njia za kunogesha tendo la ndoa, hasa pale wanapokuwa hapendi kupata mtoto kwa wakati huo.Kwa mfano vipo vidonge kwa wanaume ambavyo huzuia kutungisha mimba lakini sasa 99.9% hawatumii na hawako tayari kutumia vidonge hivyo na asilimia 42.2% wanapenda kutumia kondomu lakini na hawa bado wana haya,wapo ambao utumia nguvu na kuwaumiza wengi wao hasa ambao ni Bikira bado na baadhi utumia nguvu zaidi na kupelekea kupasuka kwa kondom na kusababishia madhara msichana au mwanamke na neno hili "kama unampenda utamlinda" ndipo hugeuka "Kama umpendi utamuua"!!!! na hapo hapo mwanamke au msichana amekuwa akitupiwa au akilaumiwa kwa kutotumia njia za kuepuka kupata mimba zisizotakiwa mfano vithibiti mimba,kulazimishwa kutoa mimba,Kufungwa kizazi ,kudungwa sindano,kutumia vidonde vya majira,na asilimia 82.3% hawapendi kutumia kondomu za kike kutokana na kukosa elimu ya kuzitumia na upatikanaji wake kuwa shida n.k ambapo njia zote hizo huwapelekea kupata maradhi mbalimbali kama kubreed freequently (Bila kupumzika) mwaka hadi mwaka, kansa nk.Njia nzuri ya kuepuka kuraumiana ni kutumia njia ya asili (Free days) na si njia nyingine zinazosababisha madhara.Pia baadhi ya wanawake wameenda mbali katika kuakisha kuwa kunakuwa sawia kwa kumia madawa ya kunenepesha ipusi,kusimamisha chuchu.Karibu tudajili hili ila ikumbukwe kuwa lengo langu si kuleta kufungika kwa amani kwa wale ambao wako katika penzi bali ni kutaka kuboresha penzi na kuepusha madhara yasiyo ya lazima."UKWELI UTAKUWEKA HURU"
 
mbona kama sikuelewi vile unaongelea nini?..

Ni kama meza imeandaliwa na vyakula vyote na vinywaji vipo ila wewe ukachukuwa ugali ukachanganya na mboga ukatia maziwa ukaminia juice ya embe kisha ukakoroga then ukatia wali kachumbari plus a lott of things na kutoa mchanyato "usioeleweka" ingawa wengine waliojisevia buffet lao wanaonekana wanakula nini...

my take:-
unapoweka mada ili tuchangie atleast uhakikishe unawa-guide watu watoe mchango wao sio kuacha madea ina float hewani tuuu.

sorry kama nimekukwaza....ila ndio mtazamo wangu binafsi juu ya mada yako.
 
Mimi naomba niongeze kaswali KWANINI WANAUME WA KIBONGO NI WABISHI KAMA SHIPA KUKUBALI WAFANYIWE VASECTOMY KAMA NJIA YA UZAZI WA MPANGO!!!!!!!!! Mke unafunga huku mwenzio anatotoa nje tu.

Wanawake VASECTOMY Oyeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Watu wengine kuelewa mpaka uandike mada ukiwa umewagusa kichwani.Unasema niwaguide wanaochangia!!!! we hujui kuwa akili ni nywele........changia kulingana na ulichoelewa kama una swali amsha mkono urusiwe kuuliza.
 
Wanaume wanaofanya hivyo ni kutokana na tamaa za bwana FISI na hawana mapenzi ya dhati

 
Kweli hii mada haieleweki kama serikali ya CCM

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi naomba niongeze kaswali KWANINI WANAUME WA KIBONGO NI WABISHI KAMA SHIPA KUKUBALI WAFANYIWE VASECTOMY KAMA NJIA YA UZAZI WA MPANGO!!!!!!!!! Mke unafunga huku mwenzio anatotoa nje tu.

Wanawake VASECTOMY Oyeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

With no offense meant,

I Never Understand Y does this Young lady have so many issues with men.
Vasectomy imeingiaje hapo sasa? +Trust is a two way road, both women and men of this age lack trust. What with the gender issues?
Jaribu kubadilisha wanaume onao'hang out' nao, itakusaidia kubadili mtazamo wako juu ya wanaume.
Good Luck with that!
 
With no offense meant,

I Never Understand Y does this Young lady have so many issues with men.
Vasectomy imeingiaje hapo sasa? +Trust is a two way road, both women and men of this age lack trust. What with the gender issues?
Jaribu kubadilisha wanaume onao'hang out' nao, itakusaidia kubadili mtazamo wako juu ya wanaume.
Good Luck with that!

Clap! Clap! Clap! Mhhhhhhhhhhhhhh! Mkiona simba kalala mnataka kumsuka sharubu zake si ndio??????

Well! Well Well! IM IN A GOOD MOOD FOR SOME QUALITY VERBAL ABUSE AND CYBER WAR WIT U THIS EVENING! You asked for it and what choice do i the loyal servant have than to give it you the way u bagged for it! Get ready here it comes.

For stater who i have issues with is non of your damn business! I can have issues with who ever i want, and there is nothin you can do abt it! Mind ya F. business.

Main course.
Hapo hujaona alipotaja mambo ya vidonge vya uzazi?????????"vipo vidonge vya majira kwa wanaume " Quoted. "42.2% wanapenda kutumia kondomu" Quoted. UNASHANGAA NINI NENO VASECTOMY KUINGIA HAPO WAKATI NAYO KAZI YAKE NI KAMA HIZO???????????/ Alaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

Dont waste ya tme preachin abt TRUST! WE ALL KNOW IN THIS WORLD YOU WALK ALONE!!!!!!!! Ask JUDDAH about trust.

THE ATOMIC BOMB!!!!!!!!!!!!
"Jaribu kubadilisha wanaume onao'hang out' nao, itakusaidia kubadili mtazamo wako juu ya wanaume. " HAHAHAAAAAA! Well here comes

THE NUCLEAR BOMB!!!!!!!!!!!!
So you suddenly know me to actually know to the extent of VERBALLY ABUSE not to mention judge the men i hangout with!!????????? So you decided to openly, publicly and purposely DISRESPECT ME, MY DAD, MY UNCLES, COUSINS, BF, BOSS, and the entire MEN KIND who i hang out with in my life???????????? SERIOUSLY! LIKE SERIOUSLY??????????? HAHAHAAAAAAA! How can you say such a thing about people you know shit about !!!!!!!YOU GOT NO SCRUPPLES MEN! EVEN FOR YOUR ELDERS???? What the hell is wrong wit you dude? What is F.U.C.K.I.N.G wrong with you?

Dessert
CONSIDER YOURSELF WARNED (ITS A CAPITAL WARNING)

Without forgetting the MAGIC words WITH ALL DUE RESPECT NO OFFENSE MEANT, I WAS JUST SAYIN!!!!!!!! M.B.A

Hivi ungeachangia mada na kuachana na mimi ungepungukiwa nini?
 
Clap! Clap! Clap!
Mhhhhhhhhhhhhhh! Mkiona simba kalala mnataka kumsuka sharubu zake si
ndio??????

Well! Well Well! IM IN A GOOD MOOD FOR SOME QUALITY VERBAL ABUSE AND
CYBER WAR WIT U THIS EVENING! You asked for it and what choice do i the
loyal servant have than to give it you the way u bagged for it! Get
ready here it comes.

For stater who i have issues with is non of your damn business! I can
have issues with who ever i want, and there is nothin you can do abt it!
Mind ya F. business.

Main course.
Hapo hujaona alipotaja mambo ya vidonge vya
uzazi?????????"vipo vidonge vya majira kwa
wanaume
" Quoted. "42.2% wanapenda
kutumia kondomu" Quoted. UNASHANGAA NINI NENO VASECTOMY KUINGIA HAPO
WAKATI NAYO KAZI YAKE NI KAMA HIZO???????????/
Alaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

Dont waste ya tme preachin abt TRUST! WE ALL KNOW IN THIS WORLD YOU WALK
ALONE!!!!!!!! Ask JUDDAH about trust.

THE ATOMIC BOMB!!!!!!!!!!!!
"Jaribu kubadilisha wanaume onao'hang out'
nao, itakusaidia kubadili mtazamo wako juu ya wanaume.
"
HAHAHAAAAAA! Well here comes

THE NUCLEAR BOMB!!!!!!!!!!!!
So you suddenly know me to actually know to the extent of VERBALLY ABUSE
not to mention judge the men i hangout with!!????????? So you decided
to openly, publicly and purposely DISRESPECT ME, MY DAD, MY UNCLES,
COUSINS, BF, BOSS, and the entire MEN KIND who i hang out with in my
life???????????? SERIOUSLY! LIKE SERIOUSLY??????????? HAHAHAAAAAAA! How
can you say such a thing about people you know shit about !!!!!!!YOU GOT
NO SCRUPPLES MEN! EVEN FOR YOUR ELDERS???? What the hell is wrong wit
you dude? What is F.U.C.K.I.N.G wrong with you?

Dessert
CONSIDER YOURSELF WARNED (ITS A CAPITAL WARNING)

Without forgetting the MAGIC words WITH ALL DUE RESPECT NO OFFENSE
MEANT, I WAS JUST SAYIN!!!!!!!! M.B.A

Hivi ungeachangia mada na kuachana na mimi ungepungukiwa nini?

wooooow! i love da way u stood up 4 urself! bravo miss! dats da way women should act
 
Back
Top Bottom