Usawa 50/50 kwa Wanaume na Wanawake

Eli24

Senior Member
Jan 1, 2018
165
361
Habari za Jumapili wanajamii

Naamini mko vzur na weekend ikiwa inaisha taaratibu ila kwa uhakika.

Leo nimepita pita kwenye mitandao ya kijamii nimeona baadhi ya wanawake wakiwa wanalalamika kwanini wameteuliwa wakuu wa mikoa wanawake 4 na wanaume 22.

Feminists wa kibongo wamekomaa kwel kwel kushinikiza Mama yetu angeongeza uteuzi ili kufikia au kukaribia usawa katika uongozi.

Swali nilimenijia kwanini feminist wanashadadia sana kuwe na uteuzi wa wanawake katika nafasi kubwa kubwa lakin kwenye nafasi ndogo ndogo wala hata hawashadadii.

Mfano pale TANESCO huwezi sikiaa feminist wakitakaa usawa wa vibarua ktka kubeba nguzo za umeme au huwezi sikia feminist wakiongea usawa katika kazi za ujenzi kama kubeba zege au kazi nyingine zile ngumu ngumu za kiume ila kwenye uongozi tu ndo utasikiaa kelele zao. Shida ni usawa au madaraka?

Hebu wabobezi wa mambo Mkujee kwa mawazo zaidi
 
Habari za Jumapili wanajamii

Naamini mko vzur na weekend ikiwa inaisha taaratibu ila kwa uhakika.
Leo nimepita pita kwenye mitandao ya kijamii nimeona baadhi ya wanawake wakiwa wanalalamika kwanini wameteuliwa wakuu wa mikoa wanawake 4 na wanaume 22.

Feminists wa kibongo wamekomaa kwel kwel kushinikiza Mama yetu angeongeza uteuzi ili kufikia au kukaribia usawa katika uongozi.

Swali nilimenijia kwanini feminist wanashadadia sana kuwe na uteuzi wa wanawake katika nafasi kubwa kubwa lakin kwenye nafasi ndogo ndogo wala hata hawashadadii.

Mfano pale TANESCO huwezi sikiaa feminist wakitakaa usawa wa vibarua ktka kubeba nguzo za umeme au huwezi sikia feminist wakiongea usawa katika kazi za ujenz kma kubeba zege au kazi nyingine zile ngumu ngumu za kiume ila kwenye uongozi tu ndo utasikiaa kelele zao. Shida ni usawa au madaraka?

Hebu wabobezi wa mambo Mkujee kwa mawazo zaidi
feminist hawajali kuhusu uwezo. wenyewe wanataka tu nafasi for status.
shida ni kuwa serikal haifanyi kazi hivyo
 
Habari za Jumapili wanajamii

Naamini mko vzur na weekend ikiwa inaisha taaratibu ila kwa uhakika.

Leo nimepita pita kwenye mitandao ya kijamii nimeona baadhi ya wanawake wakiwa wanalalamika kwanini wameteuliwa wakuu wa mikoa wanawake 4 na wanaume 22.

Feminists wa kibongo wamekomaa kwel kwel kushinikiza Mama yetu angeongeza uteuzi ili kufikia au kukaribia usawa katika uongozi.

Swali nilimenijia kwanini feminist wanashadadia sana kuwe na uteuzi wa wanawake katika nafasi kubwa kubwa lakin kwenye nafasi ndogo ndogo wala hata hawashadadii.

Mfano pale TANESCO huwezi sikiaa feminist wakitakaa usawa wa vibarua ktka kubeba nguzo za umeme au huwezi sikia feminist wakiongea usawa katika kazi za ujenzi kama kubeba zege au kazi nyingine zile ngumu ngumu za kiume ila kwenye uongozi tu ndo utasikiaa kelele zao. Shida ni usawa au madaraka?

Hebu wabobezi wa mambo Mkujee kwa mawazo zaidi
Halafu hili suala la fifty fifty hua linapelekea ndoa kuvunjikavunjika hovyo, kwa sababu wote wanatunishiana msuri na kutokuheshimiana!!

Wamwache Mama ateue kulingana na uwezo binafsi na utashi wa kiongozi husika!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom