USAToday: Tanzania 'crazy' about Obama's visit

USAToday: Tanzania 'crazy' about Obama's visit

Niliiona hii habari masaa kadhaa yaliyopita.Dunia imejua
 
....Ni kweli mkuu wandishi wetu inabidi wabadilike......DUNIA itawaacha sasa hivi nchi nyingine fani ya uandishi habari inaheshimiwa sana...kwa sababu inafanywa kwa weledi wa hali ya juu.....lakini pia na waandishi wwetu wajifunze kusoma mabo mbalimbali....na si habari za siasa na uchumi tuu....hata wale wa michezo na burudani...wajitahidi bana...wabadilike..
Nimeshangaa hata Salim Kikeke wa BBC London leo yuko Dar kwa ajili ya Obama. Kweli kama hawa wa kwetu wataendelea na business as usual watadharaulika sana muda is mrefu.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Naked ccm n its government. I like the story n best wishes to the story auther. The story has so many to learn on how we emrase pupet leaders.
 
chadema post sio us today...kadanganyeni wapuuzi wenzenu wanaovaa magwanda...
 
Obama's visit has put the country on the spotlight. The dirt piled under the carpet is being exposed. As the kiswahili saying goes, 'Mgeni njoo, mwenyeji apone' is very relevant at this point in time.

Unajua Waswahili wana msemo wao Quote...'Jicho la mgeni huona pale ambapo jicho la mwenyeji limeshindwa kuona'...Kwa maneno mengine mgeni anakuja kwenye nyumba yako unaweza ukawa umejitahidi kusafisha na kusitiri kila aina ya aibu lakini bado jicho la mgeni likaona udhaifu ambao mwenyeji ameusahau kusafisha au kuuficha...kama vile chupi chafu au ganda la condom iliyoanguka chini ya kiti kwa bahati mbaya wakati wa ku clear room kwa mgeni... Na mwisho wa siku ukakuta umeumbuka🙂
 
atakuwa Mtanzania mwenzetu huyu Josephat Mwanzi,
hata ukisoma lugha utaelewa imeandikwa na Mtanzania.
alichoandika ndio hali halisi mwandishi anapaswa kuwa na sio
unafiki kama waandishi wa TSN na magazeti mengineyo

Mzee waandishi wengine ni noma.....wanaandika utafikiri wanaishi na sisi huku mitaani....sasa hawa wandishi wetu wa uhuru, mzalendo, habari leo, clouds na wengine vipi...?
 
Wa bongo tunapenda sana kushadadia vya wenzetu, kweli nimeamini wajinga ndio waliwao!
 
Bush alimpa JK ....kuwa watu wa marekani wanapend akutoa misaada il hawapendi sana wakitoa kwa wananchi, halafu viongozi wa hao wananchi wawaibie raia wao...Jk alijichekea tuu kwa hakumbwa kusikia vimaneno vya kuchomekea au hata maneno ya tarakimu ndogondogo.Hayo ndio maneno yenye kufunga mtu.

Huwa waasia mashariki ya kati na waafrica huwa hawasikiagi kwani akili zao zinakuwa easily distructed na vitu vidogo.
 
....Ni kweli mkuu wandishi wetu inabidi wabadilike......DUNIA itawaacha sasa hivi nchi nyingine fani ya uandishi habari inaheshimiwa sana...kwa sababu inafanywa kwa weledi wa hali ya juu.....lakini pia na waandishi wwetu wajifunze kusoma mabo mbalimbali....na si habari za siasa na uchumi tuu....hata wale wa michezo na burudani...wajitahidi bana...wabadilike..
waandishi wenyewe ni form four failure!!!!! hamna kitu kichwani
 
Imekaa vizuri sana,kitakacho fata ni kuwapeleka the hague hawa ma CCM 2015.
 
Back
Top Bottom