Usanii wa TASAF Namtumbo

Usanii wa TASAF Namtumbo

Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
Mbona una malalamiko mengi kama mnufaika vile? Ndo sababu tunakushangaa kumilki SMU janja huku ukiwa kwenye msururu wa kudra .
 
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu


kiukweli hilo swala lina leta mkanganyo ila yatupasa tuelewe kwanza kitu kinaitwa conditional cash transfer hiki kitu wafnufaika wengi sana hawaelewi TASAF III inafanyaje kazi na masharti yake ... mtu mwenye watoto wa 3 kupata elfu 30 a pungufu ya icho kiwango inatokana na mnufaika kutofikisha masharti aliyowekewa. kwa uelewa wangu mm mdogo wa TASAF III ni kwamba kaya nufaika ambayo inawatoto wa kwenda shule bac kaya itapata pesa kulingana na mahudhurio ya mtoto shuleni ( hii inatokana na kwamba lengo la CCT ni kuinua kaya maskini na kuhimiza uamko au maendeleo ya elimu ktk kaya husika) lkn pia kaya ambayo inanufaika na TASAF III kaya yenye mtoto mdogo na mama mjamzito bac mahudgurio ya kliniki pia yata thibitisha kiwango cha pesa ambacho kaya kitalipwaaa ( hapa nafikiri wana lengo la kutazamia uboreshaji wa afya kwa watoto na wamama wajawazito na wenye kunyonyesha) ss unakuta kaya baadhi wao wanajua tu yakuwa wao ni wanufaika bac ni kuchukua mpunga tu.. kumbe kuna conditionality za kutimiza
 
kiukweli hilo swala lina leta mkanganyo ila yatupasa tuelewe kwanza kitu kinaitwa conditional cash transfer hiki kitu wafnufaika wengi sana hawaelewi TASAF III inafanyaje kazi na masharti yake ... mtu mwenye watoto wa 3 kupata elfu 30 a pungufu ya icho kiwango inatokana na mnufaika kutofikisha masharti aliyowekewa. kwa uelewa wangu mm mdogo wa TASAF III ni kwamba kaya nufaika ambayo inawatoto wa kwenda shule bac kaya itapata pesa kulingana na mahudhurio ya mtoto shuleni ( hii inatokana na kwamba lengo la CCT ni kuinua kaya maskini na kuhimiza uamko au maendeleo ya elimu ktk kaya husika) lkn pia kaya ambayo inanufaika na TASAF III kaya yenye mtoto mdogo na mama mjamzito bac mahudgurio ya kliniki pia yata thibitisha kiwango cha pesa ambacho kaya kitalipwaaa ( hapa nafikiri wana lengo la kutazamia uboreshaji wa afya kwa watoto na wamama wajawazito na wenye kunyonyesha) ss unakuta kaya baadhi wao wanajua tu yakuwa wao ni wanufaika bac ni kuchukua mpunga tu.. kumbe kuna conditionality za kutimiza
Ahsante mkuu kwa maelezo yako, napata picha ila sasa hawaambii wananchi ukweli huu.
 
Mbona una malalamiko mengi kama mnufaika vile? Ndo sababu tunakushangaa kumilki SMU janja huku ukiwa kwenye msururu wa kudra .
Mkuu hamna mm najirani yangu hapa, huwa anapokea hizi pesa. Amekutwa na mengi yy ni single mother anawatoto wengi wadogo wa nne wanasoma ila anapata 30000, na rafiki yake yuko vizuri anamaisha fresh tu hasomeshi wala nn ila anachukua 40000. Sasa hapo pana nn?
 
Back
Top Bottom