Usanii wa TASAF Namtumbo

Usanii wa TASAF Namtumbo

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,151
Reaction score
4,141
Kwanza nianze kuwatakia usiku mwema kwa wote waliolala mda huu na Habari kwa wote walio macho.

Kama heading inavyo state, TASAF ni mfumo wa kisiasa zaidi. Siku ya kugawa hela ni kama siri flani hivi wanafanya. Wengi wanapata taarifa kwa kushitukiza hivyo basi waliokuwa mbali wanakosa. Mgao ni mmoja na wa siku moja tu.

Sijajua kwanini wasiweke siku zaidi ya mona. Kuna kipindi foleni kubwa yaani muda hautoshi sasa wakifunga ndio basi hadi Mgao mwingine.

Sijajua hela zinaenda wapi zinazobaki. Lakini kilichonishangaza leo ni kuwa mgao umekuwa mkubwa sana yaani watu wamepewa pesa ndefu. Je, watu watatakiwa warudishe pesa ili waliokosa wapewe? Sijui ilikuaje hadi wamebugi.

Raia wanapiga nyama tu na pombe. Watendaji wanahaha kutafuta watu. Hela zimeisha ilihali wengi wa waliojiandikisha hawajapata.
 
Acha ninyamaze maana kama siyo ban ningekushushia bonge la mtusi mleta mada!. Yaani unalilia mgao wa fedha za kaya maskini wakati huo huo una smartphone?
 
Ni sehemu gani ?
Mchomoro,mgombasi,suluti,litola/kumbara,ngwinde,mtwara pachani,mkongo,lingusenguse,lusewa,namabengo,utwango,mdwema,au sehemu gani Sheikh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungejaribu kufatilia taratibu za ugawaji wa hizo ruzuku. Ki msingi kuna ruzuku inatolewa kwa kaya maskini lakini pia yapo malipo ya ziada kwa baadhi ya hizo hizo kaya maskini zinazoshiriki katika utekekezaji wa miradi i.e ujenzi wa barabara(community roads) kwa sehemu zile interior zisizofikika, vyanzo vya Maji, upandaji mashamba ya miti na hata miradi ya mashamba darasa kwa lengo la kutoka elimu au kuzalisha mbegu bora.

Na kwa taarifa yako ruzuku hiyo inatolewa kila baada ya miezi miwili, sasa suala la kula nyama au pombe nafikiri hiyo ni sehemu ndogo sana ya kunyooshea kidole. Kaya maskini inayopokea mfano Tsh 20,000/- akitoa elfu 3 akanunua nyama kilo moja kuna kosa gani? Lengo la mpango wa TASAF ni kusaidia kaya maskini kuongeza fursa za vipato na pia kuboresha matumizi ikiwemo nyanja ya Elimu na Afya.

Tafadhali tafuta muda ufatilie kwa umakini utaona faida nyingi za TASAF ikiwemo ujenzi wa miundombinu, skills na community assets katika vijiji. Uwezeshwaji huo kiuchumi impact yake sio kwa kaya maskini tu bali kuanzia kijiji, kata, wilaya na hatimaye ni taifa kwa ujumla.

Mambo ni mengi, muda mchache. Kwa heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanufaika wengi ni watu wavivu.matumizi ya hovyo kabisa ya hela za kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wasema, alieshiba hamjui mwenye njaa. Hiyo hapo chini ndio hali halisi iliyopo vijijini, sasa kaya kama hizo zikipatiwa ruzuku bado unasema ni upotevu wa kodi. Hao wote ni watanzania wanamuangalia rais wetu wa wanyonge Mh. Magufuli. Acha serikali ifanye kazi. Sio yote ya kupinga
IMG_20180606_174849.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia ni mpinzani, lakini kwa hili la TASAF naipongeza sana serikali. Iliona mbali, wamana walikua wanaogopa hata kupeleka watoto clinic, hata nguo za kujifunga hawana. Acha kubeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yani una smartphone na bado hela ya TASAF unalamba, amakweli ufisadi hauwezi kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
 
Mkuu yani una smartphone na bado hela ya TASAF unalamba, amakweli ufisadi hauwezi kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
 
Mkuu yani una smartphone na bado hela ya TASAF unalamba, amakweli ufisadi hauwezi kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
 
Mkuu yani una smartphone na bado hela ya TASAF unalamba, amakweli ufisadi hauwezi kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
 
Mkuu yani una smartphone na bado hela ya TASAF unalamba, amakweli ufisadi hauwezi kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm siomnufaika wa TASAF bali nimeona watu wanavyohangaika na mgambo kurudisha hela. Alafu mpango huu wame fill majina kwa kuangalia kujuana na hali ya kisiasa mf: mwenye watoto watano anapata 30000 na asiye na mtoto anapata 56 elfu. Ukifuatilia unaambiwa kwanza tutakutoa kwenye daftari la kudumu
 
Kwanza nianze kuwatakia usiku mwema kwa wote waliolala mda huu na Habari kwa wote walio macho.

Kama heading inavyo state, TASAF ni mfumo wa kisiasa zaidi. Siku ya kugawa hela ni kama siri flani hivi wanafanya. Wengi wanapata taarifa kwa kushitukiza hivyo basi waliokuwa mbali wanakosa. Mgao ni mmoja na wa siku moja tu.

Sijajua kwanini wasiweke siku zaidi ya mona. Kuna kipindi foleni kubwa yaani muda hautoshi sasa wakifunga ndio basi hadi Mgao mwingine.

Sijajua hela zinaenda wapi zinazobaki. Lakini kilichonishangaza leo ni kuwa mgao umekuwa mkubwa sana yaani watu wamepewa pesa ndefu. Je, watu watatakiwa warudishe pesa ili waliokosa wapewe? Sijui ilikuaje hadi wamebugi.

Raia wanapiga nyama tu na pombe. Watendaji wanahaha kutafuta watu. Hela zimeisha ilihali wengi wa waliojiandikisha hawajapata.
kusafi

yaani BADO wanagawa pesa mikononi kama kashata ? iyo njia sio salama sanaaa ningewashauri watumie njia mbadala kwa kuwapatia fedha wanufaika wa TASAF III mfano kwa kutumia njia ya M pesa, Tigo pesa na mitandao mengine kwa kufanya hivyo itawapunguzia cost wao kama watendaji wa TASAF kusafiri safiri kwenda location, Pia kuondoa manung'uniko kama hayo. Asante ushauri wangu ndio huu najua wapo watu wa TASAF humu
 
kusafi

yaani BADO wanagawa pesa mikononi kama kashata ? iyo njia sio salama sanaaa ningewashauri watumie njia mbadala kwa kuwapatia fedha wanufaika wa TASAF III mfano kwa kutumia njia ya M pesa, Tigo pesa na mitandao mengine kwa kufanya hivyo itawapunguzia cost wao kama watendaji wa TASAF kusafiri safiri kwenda location, Pia kuondoa manung'uniko kama hayo. Asante ushauri wangu ndio huu najua wapo watu wa TASAF humu
Ni kweli, hilo tayari lilishaanza kwa baadhi ya Halmashauri. Taarifa za uhakika ni kwamba huo ndio utaratibu utakaotumika kuanzia awamu ya pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom