KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Siku izi ukitaka kujiunga na elimu ya juu, vyeti vyako vinatakiwa vikakaguliwe mahakamani kama ni feki au original. Yaani unampelekea hakimu ambeye awekaa kwenye dawati, hana database wala komputa ya kuzugia mbele yake. Bora hata angekua na divice ya kutoa mionzi ya kuwulikia vyeti. Kupiga cmu kuulizia chuo au shule husika hapiki, matokeo yake naombwa buku teni ili agonge vimuhuri kwenye coppy za vyeti. Huu usanii na ulaji Tanzania utaisha lini?Hawa mahakimu wanautaalamu gan na walisomea wapi mambo ya ukaguzi wa vyeti?