deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 419
Habari wana Jf
Napenda kuuliza mwenye kuimanya vizuri hii kampuni ya Usangu Logistics maana nilipata mashaka makubwa sana mbunge mmoja aliposimama kusema kuwa kampuni hii ilipewa tenda ya kusambaza transforma 10 hapa hapa Dar es Salaam kwa gharama ya Mill. 240 huku kampuni nyingine iliyokuwa imeshindanishwa nayo ikiachwa wakati walikuwa na gharama ndogo zaidi ya sh. Mill. 10 tu.
Mambo haya yaliibuliwa wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara ya nishati na madini, ajabu ile hoja ilizimika tu kiulaini.
Nashawishika kuimanya hii kampuni ni ya akina nani then kutoka hapo tunaconnect the dots.
Nawasilisha.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Napenda kuuliza mwenye kuimanya vizuri hii kampuni ya Usangu Logistics maana nilipata mashaka makubwa sana mbunge mmoja aliposimama kusema kuwa kampuni hii ilipewa tenda ya kusambaza transforma 10 hapa hapa Dar es Salaam kwa gharama ya Mill. 240 huku kampuni nyingine iliyokuwa imeshindanishwa nayo ikiachwa wakati walikuwa na gharama ndogo zaidi ya sh. Mill. 10 tu.
Mambo haya yaliibuliwa wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara ya nishati na madini, ajabu ile hoja ilizimika tu kiulaini.
Nashawishika kuimanya hii kampuni ni ya akina nani then kutoka hapo tunaconnect the dots.
Nawasilisha.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums