babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,602
Wanajamvi,
Kweli ufisadi nchii umetamalaki.
Kweli kusambaza transformer tisa Dar es salaam na kupeleka moja Shinyanga inagharimu million 260? Come on guys lets be serious tuache ushabiki.
================
Kweli ufisadi nchii umetamalaki.
Kweli kusambaza transformer tisa Dar es salaam na kupeleka moja Shinyanga inagharimu million 260? Come on guys lets be serious tuache ushabiki.
================
Nimestaajabu kusikia kuwa mil 246 zilitumika kusafirisha transforemer 10 jijini DSM.
Hayo yamesemwa na mchangiaji ambaye sikumshika jina alipokuwa akichangia kwenye hotuba ya wizara ya Nishati na madini muda wa saa 5 hv asbh.
Amebainisha kuwa Milioni 246 zililipwa kwa mzabuni wa Tanesco aliyesafirisha Transformer 10 ndani ya jiji la Dar es salaam na 1 kuipeleka Mkoani Shinyanga.
Tenda hiyo alinyimwa mkandarasi ambaye gharama yake ilikuwa ni 10m alinyimwa tenda hiyo kwa sababu ya kigezo cha uzoefu ndipo alipopewa mkandarasi mzoefu kwa gharama ya shilingi Milioni 246.
kama ni kweli Tanesco inatapanywa haswa, na cha moto tutakiona!