USALITI: Wabunge wapinzani wanaanzaje kuingia bungeni bila Lissu?

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,786
Kwa mfano!

Hasira zote zile, matamko yote yale, kunyooshea vidole watu na kumzodoa kila anayesema tofauti!! bado CHADEMA mmeshiriki bunge? Mnashiriki bunge? mnakula, mnacheka huku kuna mtu yuko kitandani na bado hakuna hata clue ya nani ni nani alifanya nini!

Ilikiwa rahisi kwa mbunge Sugu kuahirisha na kutoimba kwenye Fiesta Mbeya ila ndio muongeaji mzuri bungeni!!

Nilifikiri njia nzuri ya kuipush serikali au hata kabla ya kuingia bungeni basi mngewaambia wananchi, A to Z ya hili swala limefikia wapi? Na wananchi wategemee nini na ni percentage/chances ngapi za aliyefanya

1. Serikali? Why any evidences zisizo na shaka na kama ni serikali nini kimefanyika? Are you closing the case? Or fight through judiciary systems? Where are evidences

2. Ni maadui wa Lissu? akina nani? Wako wapi? Kwanini walifanya haya, CHADEMA na serikali imefikia wapi kuwatia nguvuni? Last time Kubenea alimwagiwa tindikali kwa kulala na mke wa mtu ikaonekana shujaa wa kisiasa

3. Thirdy party ambae kamfanya Lissu kuwa kafara innocently, kaamua kufitinisha serikali na wananchi akiwa ni adui wa serikali na anaikomoa serikali na akaona Lissu awe kafara innocently...any clues? Who are they?

Lilipita na mpaka leo ni aibu kwa BEN SAANANE...kutopatikana, leo Lissu yuko hai hakuna appreciation za kishujaa!!

Chadema nimejitolea sana kuwafundisha kila siku kuanzia mlipobaka demokrasia 2007..sitachoka

Ila mlichofanya ni USALITI KWA LISSU na wananchi, hii ndio tabia ya kikamanda?? seriously? Lissu pata ujumbe ungekufa pengine hawa jamaa wangetongozana na wanawake wapya siku ya msiba na unasahaulika mioyoni kabisa..
ila watakukumbuka kwa midomo...kama wengine wengi wanavyojifanya kumkumbuka Nyerere

Sijaona ile heroism, unity na sijaona punch za maana kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu issue za Lissu na majibu yake! wananchi wanasubiri ngau kusikia upelelezi umefikia wapi....kujifanya kulaumu tu kisha ukakaa chini, tofauti ya chama chenye viongozi na wauza kahawa mtaani haitakuwepo

Narudia tena, push ya kujua swala la Lissu ilitakiwa ionyeshwe na hawa chadema kutoingia bungeni, this time probably they could have good reason ambayo inaeleweka kwa wananchi!! kuwaza posho (najua hali mbaya) kamwe kusififishe nguvu ya pamoja ya kujua hili...somebody did we need to know, au mmejua tayari na mnaogopa aibu? kuwa mliyemdhania sie? semeni tu

kama mnataka aje scotland yard, wala hakuna haja ya kuiambia serikali, waleteni kimya kimya!! ila nchi ambayo raia wake hawana database ya makazi, finger prints, taxes, daily work n.k wakija FBI wanakuwa sawa na wapiga ramli, ili ni somo la siku ingine


wabe
 
Hata mchawi baada ya kuua huwa analia sana Msibani tena kwa kelele za hali ya juu, anagalagala, anavuta pua kama nguruwe, baada ya Mazishi kalamu ya mtakato.

Hangalizo mtoa mada "kwenye siasa hakuna Rafiki wa Kudumu wala Adui wa Kudumu" alisema Mh. Macho Kumchuzi sio Mimi
 
Lazima waingie bungeni na kule ndo walipata nafasi ya kuihoji serikari . Mh Mbowe ali mhoji waziri mkuu na ufafanuzi akautoa . kuacha kuingia bungeni siyo suluhisho . kazi za kibunge wanatakiwa wafanye huku wakisubiri taarifa ya vyombo vya uchunguzi .kumbuka bungeni kuna masuala nyeti mengine yanaendelea hivyo uwepo wao kule bungeni ni muhmu pia
 
Kwa mfano!

Hasira zote zile, matamko yote yale, kunyooshea vidole watu na kumzodoa kila anayesema tofauti!! bado CHADEMA mmeshiriki bunge? Mnashiriki bunge? mnakula, mnacheka huku kuna mtu yuko kitandani na bado hakuna hata clue ya nani ni nani alifanya nini!

Ilikiwa rahisi kwa mbunge Sugu kuahirisha na kutoimba kwenye Fiesta Mbeya ila ndio muongeaji mzuri bungeni!!

Nilifikiri njia nzuri ya kuipush serikali au hata kabla ya kuingia bungeni basi mngewaambia wananchi, A to Z ya hili swala limefikia wapi? Na wananchi wategemee nini na ni percentage/chances ngapi za aliyefanya

1. Serikali? Why any evidences zisizo na shaka na kama ni serikali nini kimefanyika? Are you closing the case? Or fight through judiciary systems? Where are evidences

2. Ni maadui wa Lissu? akina nani? Wako wapi? Kwanini walifanya haya, CHADEMA na serikali imefikia wapi kuwatia nguvuni? Last time Kubenea alimwagiwa tindikali kwa kulala na mke wa mtu ikaonekana shujaa wa kisiasa

3. Thirdy party ambae kamfanya Lissu kuwa kafara innocently, kaamua kufitinisha serikali na wananchi akiwa ni adui wa serikali na anaikomoa serikali na akaona Lissu awe kafara innocently...any clues? Who are they?

Lilipita na mpaka leo ni aibu kwa BEN SAANANE...kutopatikana, leo Lissu yuko hai hakuna appreciation za kishujaa!!

Chadema nimejitolea sana kuwafundisha kila siku kuanzia mlipobaka demokrasia 2007..sitachoka

Ila mlichofanya ni USALITI KWA LISSU na wananchi, hii ndio tabia ya kikamanda?? seriously? Lissu pata ujumbe ungekufa pengine hawa jamaa wangetongozana na wanawake wapya siku ya msiba na unasahaulika mioyoni kabisa..
ila watakukumbuka kwa midomo...kama wengine wengi wanavyojifanya kumkumbuka Nyerere

Sijaona ile heroism, unity na sijaona punch za maana kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu issue za Lissu na majibu yake! wananchi wanasubiri ngau kusikia upelelezi umefikia wapi....kujifanya kulaumu tu kisha ukakaa chini, tofauti ya chama chenye viongozi na wauza kahawa mtaani haitakuwepo

Narudia tena, push ya kujua swala la Lissu ilitakiwa ionyeshwe na hawa chadema kutoingia bungeni, this time probably they could have good reason ambayo inaeleweka kwa wananchi!! kuwaza posho (najua hali mbaya) kamwe kusififishe nguvu ya pamoja ya kujua hili...somebody did we need to know, au mmejua tayari na mnaogopa aibu? kuwa mliyemdhania sie? semeni tu

kama mnataka aje scotland yard, wala hakuna haja ya kuiambia serikali, waleteni kimya kimya!! ila nchi ambayo raia wake hawana database ya makazi, finger prints, taxes, daily work n.k wakija FBI wanakuwa sawa na wapiga ramli, ili ni somo la siku ingine


wabe
Huo muda unaopoteza kuandika hapa mwambie huyo Haambiliki ..mulize
Kwanini kulitaka kutokea maasi pale upanga ...hadi shaba zikalia?
 
..wakisusia bunge watalaumiwa kuwa wanajali shida za TL kuliko shida na masuala ya mamilioni ya wananchi waliowatuma kuwawakilisha bungeni.

..lakini pia kuna mambo yanayomhusu TL wanaweza kuyazungumza kwa uwazi zaidi BUNGENI kwasababu wana KINGA kuliko huku uraiani ambako wanaweza kukamatwa.

..Mwisho, CDM wamejitahidi kwa kadri wawezavyo kumhudumia TL. Sidhani kama ktk hili wanastahili tuhuma za " usaliti. "
 
Pumba tupu! Hata Lissu mwenyewe asingekubali wasusie bunge kwa sababu ya shambulizi lake kwani anajua mapambano dhidi ya huyu kaburu mweusi, dhalimu, muongo, mwizi, fisadi na dikteta uchwara ni lazima yaendelee.

Alutta continua! continua!

Kwa mfano!

Hasira zote zile, matamko yote yale, kunyooshea vidole watu na kumzodoa kila anayesema tofauti!! bado CHADEMA mmeshiriki bunge? Mnashiriki bunge? mnakula, mnacheka huku kuna mtu yuko kitandani na bado hakuna hata clue ya nani ni nani alifanya nini!

Ilikiwa rahisi kwa mbunge Sugu kuahirisha na kutoimba kwenye Fiesta Mbeya ila ndio muongeaji mzuri bungeni!!

Nilifikiri njia nzuri ya kuipush serikali au hata kabla ya kuingia bungeni basi mngewaambia wananchi, A to Z ya hili swala limefikia wapi? Na wananchi wategemee nini na ni percentage/chances ngapi za aliyefanya

1. Serikali? Why any evidences zisizo na shaka na kama ni serikali nini kimefanyika? Are you closing the case? Or fight through judiciary systems? Where are evidences

2. Ni maadui wa Lissu? akina nani? Wako wapi? Kwanini walifanya haya, CHADEMA na serikali imefikia wapi kuwatia nguvuni? Last time Kubenea alimwagiwa tindikali kwa kulala na mke wa mtu ikaonekana shujaa wa kisiasa

3. Thirdy party ambae kamfanya Lissu kuwa kafara innocently, kaamua kufitinisha serikali na wananchi akiwa ni adui wa serikali na anaikomoa serikali na akaona Lissu awe kafara innocently...any clues? Who are they?

Lilipita na mpaka leo ni aibu kwa BEN SAANANE...kutopatikana, leo Lissu yuko hai hakuna appreciation za kishujaa!!

Chadema nimejitolea sana kuwafundisha kila siku kuanzia mlipobaka demokrasia 2007..sitachoka

Ila mlichofanya ni USALITI KWA LISSU na wananchi, hii ndio tabia ya kikamanda?? seriously? Lissu pata ujumbe ungekufa pengine hawa jamaa wangetongozana na wanawake wapya siku ya msiba na unasahaulika mioyoni kabisa..
ila watakukumbuka kwa midomo...kama wengine wengi wanavyojifanya kumkumbuka Nyerere

Sijaona ile heroism, unity na sijaona punch za maana kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu issue za Lissu na majibu yake! wananchi wanasubiri ngau kusikia upelelezi umefikia wapi....kujifanya kulaumu tu kisha ukakaa chini, tofauti ya chama chenye viongozi na wauza kahawa mtaani haitakuwepo

Narudia tena, push ya kujua swala la Lissu ilitakiwa ionyeshwe na hawa chadema kutoingia bungeni, this time probably they could have good reason ambayo inaeleweka kwa wananchi!! kuwaza posho (najua hali mbaya) kamwe kusififishe nguvu ya pamoja ya kujua hili...somebody did we need to know, au mmejua tayari na mnaogopa aibu? kuwa mliyemdhania sie? semeni tu

kama mnataka aje scotland yard, wala hakuna haja ya kuiambia serikali, waleteni kimya kimya!! ila nchi ambayo raia wake hawana database ya makazi, finger prints, taxes, daily work n.k wakija FBI wanakuwa sawa na wapiga ramli, ili ni somo la siku ingine


wabe
 
Back
Top Bottom