Usaliti kwenye mapenzi, kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja, mchepukoni ni sawa mateso na utumwa

miss chagga

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
57,821
48,976
Habari zenu wana MMU,

Mimi nadhani hakuna mapenzi yenye furaha na amani kama kuwa na mwenza mmoja wa kuaminiana, lakini tunavyokuwa na wapenzi zaidi ya mmoja yani mtu unaishi kwa mateso na shida tu kama:


  • Kuwa na wasi wasi muda wote
  • Hasira za mara kwa mara hasa ukikutana na maswali "ulikuwa wapi?" unaongea na nani? Unachati na nani? unaweza kasirika mpaka ukataka kufa wakati majibu yapo wazi na simple.
  • Huna uhuru na simu yako.
  • na unakuwa mlinzi wa simu badala ya simu ya kuicontrol wewe simu ina kucotrol wewe.
  • Kukosa amani
  • Kukosa uhuru wa hisia za mwenzio. yani ukimkuta mwenzio kanuna unaanza kuogopa
  • Kuishi maisha ya hisia na kujilinda zaidi.

Sasa najiuliza matesio ni mengi kuliko starehe kwa nini tunataka kuwa na maisha ya tabu na shida na mateso mengi kuliko raha. Mimi kwa mtazamo wangu naona embu jaribu kuwa na mmoja kwanza uone raha yake yani ila hakikisheni mnapendana sana


Niwatakie maandalizi mema ya sikuku ya idd


 
Jasir haachi asili yake..na akizoea hayo mazara hamn anakuwa free..mapenzi yanaumiza smtym kuwa single inapendeza zaidi.
 
miss chagga

Kwa wanawake me siwezi kuwasemea kwa sababu sijawahi kuwa mwanamke. Lkn kwa wanaume hasa hawa wa hapa Tanzania,ni vigumu sana kuwa na mmoja. Kwenye maandishi km hapa au kwenye vitabu ni rahisi sana kusema inawezekana lkn ukweli kwenye hali halisi hakuna mwanaume mwaminifu. Km wapo,basi ni 0.5%
 
Last edited by a moderator:
Kwa wanawake me siwezi kuwasemea kwa sababu sijawahi kuwa mwanamke. Lkn kwa wanaume hasa hawa wa hapa Tanzania,ni vigumu sana kuwa na mmoja. Kwenye maandishi km hapa au kwenye vitabu ni rahisi sana kusema inawezekana lkn ukweli kwenye hali halisi hakuna mwanaume mwaminifu. Km wapo,basi ni 0.5%
duh sawa tu .. ila mapenzi yasiyo nakucheat ni mazuri sana
 
duh sawa tu .. ila mapenzi yasiyo nakucheat ni mazuri sana
Mkuu miss chagga kwani ulichoandika hapa una uzoefu nacho,umesikia watu wakiongea au umejua kuwa watu wana-cheat kwa kusoma vitabu na machapisho mbalimbali!!!? Km imekutokea ww mwenyewe basi jua huo ndo utaratibu. Km alicheat mfalme Daud mpakwa mafuta itakuwa sisi!!??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu miss chagga kwani ulichoandika hapa una uzoefu nacho,umesikia watu wakiongea au umejua kuwa watu wana-cheat kwa kusoma vitabu na machapisho mbalimbali!!!? Km imekutokea ww mwenyewe basi jua huo ndo utaratibu. Km alicheat mfalme Daud mpakwa mafuta itakuwa sisi!!??
aisee siwezi kuwa shahidi direct nimejaribu kuuliza waume kwa wake wanasema ukiwa ucheat kuna kuwa na certain infection ila ukianza kucheat tu ni shida huanza na utumwa
 
Perfect life can be so boring sometimes
breaking the law can be fun
This sums it up. Watu wanadhani kila mwenye michepuko ana wasiwasi, wengine ni burudani mwanzo mwisho. Mtu kama ana michepuka halafu anakumbwa na hizo hali hapo juu kweli michepuko haimfai kabisa. Mimi kwa upande michepuko naichukia kwa sababu ni dhambi tu.
 
This sums it up. Watu wanadhani kila mwenye michepuko ana wasiwasi, wengine ni burudani mwanzo mwisho. Mtu kama ana michepuka halafu anakumbwa na hizo hali hapo juu kweli michepuko haimfai kabisa. Mimi kwa upande michepuko naichukia kwa sababu ni dhambi tu.

Hajui hiko anachokiita 'wasiwasi'
wengine ndio big excitement......
 
Back
Top Bottom