Usaliti katika ndoa

Usaliti katika ndoa

Je mtafutaji hakuifanyia majaribio???
 
Ndoa, ndoa kwa nini unawaumiza wanandoa kiasi hiki?
 
mume itakuwa hajitumi kunako six kwa six....labda yupo kimaslahi zaidi na binti wa watu kajionea isiwe shida!
 
mume itakuwa hajitumi kunako six kwa six....labda yupo kimaslahi zaidi na binti wa watu kajionea isiwe shida!

Ase ht km wajitahd vip ka n taba ya mtuu aez tulia

huyo dada n gwiji hata hofu hkn na walomchagulia nao jmn :what:😕 duuu yan 2 months na kuchepuka ..... km haridhishwi na mmewe c anamwmbia xa kuchepuka ndo nn.....

Tn akome asije mletea mwenzake magonjwa
 
Wanaume wanaotafutiwa wake uwa wanakuwa wamezubaa fulani hivi...
Labda ndio maana bidada kamkumbuka ex wake...
Utatafutiwaje mke bana na wanawake wamejaa kila kona...
 
Inashangaza sana kusikia 2014 bado kuna njembas zinatafutiwa mke mtarajiwa.

Wanaume wanaotafutiwa wake uwa wanakuwa wamezubaa fulani hivi...
Labda ndio maana bidada kamkumbuka ex wake...
Utatafutiwaje mke bana na wanawake wamejaa kila kona...
 
Stori zenu zinatuzeesha jamani tutakua tunawaogopa wanawake
 
Asanteni kwa wote mliochangia nimejifunza mengi
 
Back
Top Bottom