mpya9
Member
- Aug 29, 2016
- 31
- 18
Hivi ulishawahi kujiuliza waganga au matapeli wanatoa wapi taarifa zetu? 😱lol unafahamu kila unapojiunga na kuipa ruhusa mitandao ya kijamii unajitengenezea mtandao usioujua ambao mwisho wa siku unaweza kutumika na watu wenye utaalamu wa sayansi ya kompyuta kukubaini wewe ni nani?, upo wapi?, unakaa wapi?, unafanya nini?, akina nani na nani ni marafiki/ndugu au majirani zako kiurahisi tu kwa kutumia mbinu za kufuatilia taarifa zako zinazozagaa mtandaoni ambazo kwa ujumla zinajulikana kama OSINT yaani Open Source Intelligence.... Kwa uchache huo nilivyoyaeleza mambo haya yakutosha kabisa kuwa na jawabu lako binafsi kuwa taarifa zako mtandaoni zipo salama au ndo hukumbuki hata ni akaunti ngapi za Instagram umefungua na hauzitumii tena zipo tu zinazagaa.
Hivyo basi nakusihi uungane nami kwenye video hii kisha usubscribe channel yetu ili kujifunza utu na masuala yanayowahusisha watu! Shukran
Hivyo basi nakusihi uungane nami kwenye video hii kisha usubscribe channel yetu ili kujifunza utu na masuala yanayowahusisha watu! Shukran