Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

Umemsahau ibilisi mwendazake
 
hao unaosema ni heri, ungelijua namna walivyo.............. kwao Ifakara, ungenyamaza tu. hawajamtanguliza Mungu wala nini kwa hiyo don't involve God on this please. wacha tutaniane kisiasa sisi kwa sisi, Mungu mweke pembeni usimwingize kwenye uchafu huu.
 
Lakini poa wakili yeyote tule huwa hana kosa kumtetea mteja.Ndo maana utaona kesi ya mauaji kabisaaa lakini muuaji anapata wakili wa kumtetea,sasa unadhani ndugu wa yule aliyeuawa watamchukuliaje?Wanajua kuwa ile ni kazi na yupo kazini so hana kosa kwa kufanya kazi yake.

Ndo maaana Kibatala hana shida na hata mtu akimletea shida anajitafutia karma na kubeba dhambi tu.

Poa hao wanaowakamata wapinzani wanajua kuwa hili tulilomkamata nalo ni la uongo hivyo ndo maana wanaona kumdhuru wakili ni kujiongezea liana na dhambi zaidi kwa Mungu.Hata wao wana mioyo.
 
Hakika ndugu, ukiiangalia ile clip kwa jicho la haki, bila kuwa upande wowote ule, lazima lazima lazima utatafakari.
Kwa kweli ile clip imenipa tafakuri sana. nimeamini bado kuna watu wanasimamia taaluma zao
 

Ulikumbuka kumkumbusha Sirro au mwendazake kutomhusisha Mungu au ndiyo kuchanganyikiwa sasa huku?

Hiiiiii bagosha!
 
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Unamuagiza nani wa kuangalia usalama wa kibatala
 
Mawakili kwa mawakili hawana visasi wapo kazini tu wanagombana pale tu wakitoka wanaelewana vizuri..ni kama wabunge tu wa chama tawala na upinzani wakiwa mule ndani utadhani ni maaduni lakini ukiwakuta nje wanakula pamoja na kula pia... Labda tu wakili amkosee mtu lakin suala la kusema kwakua ameshinda kesi ndiyo awe adui siyo kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…