Umemsahau ibilisi mwendazakeHeri nyingi zimeorodheshwa katika Mathayo 5:
"......Heri yenu nyinyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni......"
Heri hizo zinamhusu sana mtu kama Peter Kibatala, kamanda Mbowe na wa namna hiyo. Lakini si SSH, Diwani, Sirro wala Muliro.
hao unaosema ni heri, ungelijua namna walivyo.............. kwao Ifakara, ungenyamaza tu. hawajamtanguliza Mungu wala nini kwa hiyo don't involve God on this please. wacha tutaniane kisiasa sisi kwa sisi, Mungu mweke pembeni usimwingize kwenye uchafu huu.Heri nyingi zimeorodheshwa katika Mathayo 5:
"......Heri yenu nyinyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni......"
Heri hizo zinamhusu sana mtu kama Peter Kibatala, kamanda Mbowe na wa namna hiyo. Lakini si SSH, Diwani, Sirro wala Muliro.
Sio kweli asingeweza kuwa against na serikali na kuwatetea chadema kisha wanashinda kesiJamaa ni usalama wa taifa
Bwana Yesu alisema 'mwenye kuvumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka'.
Na Mimi nilitaka nihoji usalama wa nini wakati mwenyewe ni usalama.Jamaa ni usalama wa taifa
hao unaosema ni heri, ungelijua namna walivyo.............. kwao Ifakara, ungenyamaza tu. hawajamtanguliza Mungu wala nini kwa hiyo don't involve God on this please. wacha tutaniane kisiasa sisi kwa sisi, Mungu mweke pembeni usimwingize kwenye uchafu huu.
Unamuagiza nani wa kuangalia usalama wa kibatalaHili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Umemsahau ibilisi mwendazake
Weeeee usiniambieJamaa ni usalama wa taifa
Mawakili kwa mawakili hawana visasi wapo kazini tu wanagombana pale tu wakitoka wanaelewana vizuri..ni kama wabunge tu wa chama tawala na upinzani wakiwa mule ndani utadhani ni maaduni lakini ukiwakuta nje wanakula pamoja na kula pia... Labda tu wakili amkosee mtu lakin suala la kusema kwakua ameshinda kesi ndiyo awe adui siyo kweli..Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
na mlinzi wa kweli kama huamini alimlinda LisuMungu ndio kimbilio mwisho wa siku.
Taifa gani, mataifa yako mengiWeeeee usiniambie