Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,415
- 30,925
Umemsahau ibilisi mwendazakeHeri nyingi zimeorodheshwa katika Mathayo 5:
"......Heri yenu nyinyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni......"
Heri hizo zinamhusu sana mtu kama Peter Kibatala, kamanda Mbowe na wa namna hiyo. Lakini si SSH, Diwani, Sirro wala Muliro.