Jamaa ni usalama wa taifa
Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Hujui kitu wewe,akina kibatala wote wamejifunza kwa LissuMtoe lissu mzee wa mapovu hapo.
Ndio,kwani kuwa mwalimu maana yake unajua kila kitu!!!Hujui kitu wewe,akina kibatala wote wamejifunza kwa Lissu
Utashangaa siku utakayoambiwa Kibatala ni mtu wa system.Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Huu upumbavu wapelekee kijijini kwenuUwongo wako huo ,ni mlugulu wakwanza msomi toka tumepata Uhuru
Kuna wakili msomi mwingine pia ni Mr.Gwajima yule, mume wa Waziri wa afyaKatika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Hiv hi ni miongoni mwa Products chache za mwanzo mwanzo Llb pale Mzumbe University. eti?Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Na ndo ilivyoUtashangaa siku utakayoambiwa Kibatala ni mtu wa system.
Mimi mluguru wa tununguo kule mbele kabisa ya ngerengere mwezangu wasehemu gani.Huu upumbavu wapelekee kijijini kwenu
wakashinaNajisikia fahari kuwa na home boy kama Kibatala.
Sio mtu anajiita msomi lakini hana msaada wowote kwenye jamii.
general,futa kauliyako kibatala hataungua moto wa mileleMnatumia maandiko ku justify' upuuzii.
achana nae atakuumiza kichwaUpuuzi gani nime'justify' hapa kama uliyoandika ndiyo siyo upuuzi wenyewe?
Anawatu gani pumbavuKibatala ana watu.
Hata mimi hii kitu nimekuwa nikiwaza sana kwa muda mrefu tu tangu lissu alivyojeruhiwa...Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.
Namshauri tu aangalie yaliyowatokea Watangulizi wake Nguli katika Fani Marehemu Masumbuko Lamwai na 'Poti' wangu kabisa wa 'Kizanaki' na aliyekuwa Mbunge wangu wa Butiama ( zamani Musoma Vijijini ) Mzee Nimrod Elirehema Mkono.Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda inanipa mtazamo kuwa Peter ni mtu makini, anayejiamini, asiyenunulika wala kurubuniwa.
Napata shaka kuwa matendo ya Ujasiri wake yanaweza kuhatarisha hata uhuru wake, nafsi yake nk. Nasema haya kwasababu naamini wale anaowashinda kwenye kesi mbalimbali huwa hawafurahii.
Je watu kama hawa ambao ni hazina fulani hivi nani anafikiri juu yao, Mungu yupo ni kweli lakini hila, chuki navyo vipo. Tarehe 05.08.2021 nimeona akimfuata nadhani mfuasi wa CHADEMA aliyekuwa chini ya Ulinzi wa Polisi katika gari lao tayari kwa kumpeleka rumande kwa kile kinachosadikika kuwa alionyesha bango katika viunga vya Mahakama.
Amesikika Peter Kibatala akimwambi a huyo mwanachama "kamanda usiwe na wasiwasi we nenda Polisi ila tutakutoa kamanda usiwe na wasiwasi tutakutoa kama sio Polisi tutakutoa Mahakamani "
Hili limenitafakarisha sana sana, pamoja nyakati ngumu Mungu huwa anawainua watu kwa ajili ya wale waliokufa mioyo. Peter ni shujaa lakini inabidi nae aangaliwe, usalama wake nk.