njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Baada ya pengo la attack dog kutokea leo imeonekana kwamba kwa sasa hivi kutakuwa na ombwe kubwa la mtu wa kurusha dhihaka na vijembe kwa Barbara na Mo dewji
Kwa kuwa ni wazi H Bumbuli hawezi kazi hiyo shughuli hiyo inaangukia kwa Mwijaku ambaye yeye mwenyewe juzi kasema yuko tayari kufanya kazi hapo kwa mabingwa akipewa kwani Mo dewji hapokei simu zake
Kazi kwenu wananchi,miaka 2 ni mingi sana kwa Mo dewji na Barbara kupumzika bila kutukanwatukanwa kidoogo
NB: deal la diamond platnumz kuhamia yanga linaenda vizuri anaweza tambulishwa siku ya yanga day akiwa na nyimbo mpya , wote yeye na mwijaku ni masuala ya kimaslahi tu yanawekwa sawa
Litakuwa pigo kubwa sana kwa makolo baada ya kuhamwa na Marioo aliyetoa nyimbo kali ya yanga tamu
Kwa kuwa ni wazi H Bumbuli hawezi kazi hiyo shughuli hiyo inaangukia kwa Mwijaku ambaye yeye mwenyewe juzi kasema yuko tayari kufanya kazi hapo kwa mabingwa akipewa kwani Mo dewji hapokei simu zake
Kazi kwenu wananchi,miaka 2 ni mingi sana kwa Mo dewji na Barbara kupumzika bila kutukanwatukanwa kidoogo
NB: deal la diamond platnumz kuhamia yanga linaenda vizuri anaweza tambulishwa siku ya yanga day akiwa na nyimbo mpya , wote yeye na mwijaku ni masuala ya kimaslahi tu yanawekwa sawa
Litakuwa pigo kubwa sana kwa makolo baada ya kuhamwa na Marioo aliyetoa nyimbo kali ya yanga tamu