Sio lazma uende ofisini, piga ile namba yao, (japo utasubiri sana), then ongea na mhudumu mueleze suala.lako.
Atakuuliza mita namba, then atakutajia manamba kibao, utayarekodi pembeni then utaenda kufungua mita yako kwa kuingiza namba hzo.
Most times it takes at least 5 working days kuanzia wanapofunga mita mpya hadi kusajiliwa.