Vichekesho
JF-Expert Member
- Mar 28, 2024
- 212
- 389
Ndugu mhasibu CPA OKW BOBAN SUNZU tunaomba utupe mchanganuo wa kitaalamu kuhusiana na usajili wa ma straika hawa hatari katika viunga vya Msimbazi.
HahahaaaTehtehteh hasibu letu la jf ni jin.ga kabisa
Kwasisi ma-CPA holders hiyo unaweza ukaielezea kwa maeneo mawili au matatu tofauti;Ndugu mhasibu CPA OKW BOBAN SUNZU tunaomba utupe mchanganuo wa kitaalamu kuhusiana na usajili wa ma straika hawa hatari katika viunga vya Msimbazi.
mkuu tukupe timu uwekeze wewe basi?Hilo suala likapelekea matatizo makubwa kwa Simba.
1. Muwekezaji Muongo
2. Uongozi mbovu.
3. Wachezaji Magalasa.
EboSelikali inatia aibu kuzibana simba na Yanga.
Mangungu amewekwa na selikali
Try again amawekwa na selikali.
Wamewazuia simba kusajili wanachama wapya , ili kuzuia Mawazo mapya, vionhozi wapya na Damu changa.
Hii selikali ni KKMK
Acha uongo we jamaaSelikali inatia aibu kuzibana simba na Yanga.
Mangungu amewekwa na selikali
Try again amawekwa na selikali.
Wamewazuia simba kusajili wanachama wapya , ili kuzuia Mawazo mapya, vionhozi wapya na Damu changa.
Hii selikali ni KKMK
liabilitiesNdugu mhasibu CPA OKW BOBAN SUNZU tunaomba utupe mchanganuo wa kitaalamu kuhusiana na usajili wa ma straika hawa hatari katika viunga vya Msimbazi.
Hahahaha 🤣🤣🤣..CPA FEKI OKW SUNZU BOBAN teh teh....Ndugu mhasibu CPA OKW BOBAN SUNZU tunaomba utupe mchanganuo wa kitaalamu kuhusiana na usajili wa ma straika hawa hatari katika viunga vya Msimbazi.
Sirikali gani wewe Magungu si amewekwa hapo na wapiga kura mabumbumbu baada ya kuwaletea mpiga kampeni wake Manzoki.Selikali inatia aibu kuzibana simba na Yanga.
Mangungu amewekwa na selikali
Try again amawekwa na selikali.
Wamewazuia simba kusajili wanachama wapya , ili kuzuia Mawazo mapya, vionhozi wapya na Damu changa.
Hii selikali ni KKMK