Messier 31
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 477
- 1,205
Mimi ni mwanafunzi ambaye kwa sasa ndo naingia kidato cha sita,
Nilipata matatizo wakati narudi shule baada ya hii likizo, nikaibiwa begi ambalo lilikuwa na vitu vifuatavyo
•Cheti cha form iv
•Result slip ya form iv
na vingine.
Lengo la hii thread nilitaka kujua kuwa je naweza nikasajiliwa kidato cha sita bila hivyo vitu hapo juu maana wakati tunakwenda likizo tulitaarifiwa ya kuwa turudi na kitu kimojawapo hapo juu ili kusajiliwa sa sijajua ni kitu gani kinahitajika ndani ya cheti au rusult slip
Nilipata matatizo wakati narudi shule baada ya hii likizo, nikaibiwa begi ambalo lilikuwa na vitu vifuatavyo
•Cheti cha form iv
•Result slip ya form iv
na vingine.
Lengo la hii thread nilitaka kujua kuwa je naweza nikasajiliwa kidato cha sita bila hivyo vitu hapo juu maana wakati tunakwenda likizo tulitaarifiwa ya kuwa turudi na kitu kimojawapo hapo juu ili kusajiliwa sa sijajua ni kitu gani kinahitajika ndani ya cheti au rusult slip