Usajili huu wa simba,mashaka matupu

Wako waliodai eti usajili huu watu watazimia lkn ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA,haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE,AS VITA,AL AHAL,MAMELOD SUNDOWN,ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA,au VIETNAM,mwisho iende mazembe lkn isajili mchezaji asiye na namba ktk kikosi cha mazembe,sio bure iko jambo,ma fans wa simba kaeni mutafakari,usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni okwi + juuko?au ninani,kwa lugha nyepesi simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo,
Mbona usajili wa Yanga hata hamna thread ya kuusifia.
We kwa akili zako unafikiri kusajili mchezaji mzr ni hadi ashiriki CAf, ni upungufu wa akili.
We Yanga afu unapata shida na nyumba ya jirani wakt kwako ujui hata kukoje.
Kwa kushauri acha simba isajili inavyoona sio unavyoona wewe.

Tukutane msimu ujao
 
Wako waliodai eti usajili huu watu watazimia lkn ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA,haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE,AS VITA,AL AHAL,MAMELOD SUNDOWN,ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA,au VIETNAM,mwisho iende mazembe lkn isajili mchezaji asiye na namba ktk kikosi cha mazembe,sio bure iko jambo,ma fans wa simba kaeni mutafakari,usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni okwi + juuko?au ninani,kwa lugha nyepesi simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo,
Simba waende pale Angola wakamsajili Bruno Gasper fullback ya kulia.
Mbadala ya juuko wakamchukue Timothy Awany wa KCCA ya uganda.

Ni dhihaka kubwa sana kwa timu kama simba kumsajili Kennedy Wilson ambaye hata kuzima mpira hawezi halafu tukategemea maajabu kwenye ligi.
 
Sio kila mchezaji anayeachiwa ni mbaya, sababu huwa ni nyingi, mfano Kotei ametoka Simba ni mbaya? Au Kagere alivyotaka Gormahia buree ni mbaya?
Watu wanaidharau ligi yetu wakati hapa Africa mashariki na kati sidhani kama kuna ligi inatukuta
 
Usajili mwingine huo,
Screenshot_2019-07-03-13-14-21.jpg
 
Wako waliodai eti usajili huu watu watazimia lkn ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA,haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE,AS VITA,AL AHAL,MAMELOD SUNDOWN,ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA,au VIETNAM,mwisho iende mazembe lkn isajili mchezaji asiye na namba ktk kikosi cha mazembe,sio bure iko jambo,ma fans wa simba kaeni mutafakari,usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni okwi + juuko?au ninani,kwa lugha nyepesi simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo,
Mazembe kasajir nani w afcon x kasajir mchezaj toka mbeaya city au unajisalisha
 
Usikariri vitu, nakupa mfano Francis Kahata ni bonge la mchezaji akikutana na mbugira mbugira wa Afrika mashariki ila Afcon kakutana na best players hakuna alichokifanya.

Hawa wachezaji waliosajiliwa na Simba SC wote kwa ujumla wao wako 50/50 huenda wakafanya vizuri au vibaya.

Medy Kagere msimu wake wa kwanza tu kawa fire ni nani alitarajia hili?
Je Balinya wa Yanga unauhakika kuwa atafanya vizuri TPL?

Tutaanza kuwahukumu au kuwapongeza baada ya ligi kuanza kwa sasa kaeni kimya
Kwa hiyo wachezaji wa Makonda stars ni bora maana Kahata alitweta akatolewa mapema sana.
 
Anayeidharau ligi ya Sudan atakuwa hajui anachokizungumza.
Kwa taarifa yako, sio rahisi kumchukua mchezaji kutoka Sudan kwa timu kama Al Hilal na El Meriekh.

Tena hata hivyo Simba wamefanya usajili wa watu wengi, kwa timu waliyokuwa nayo msimu uliopita, walitakuwa kuongeza vichwa 3 tu kutoka nje na wachezaji labda 4 kutoka ndani. Sema ubora wa wachezaji wa ndani ndio una shaka kwa aina ya malengo ya Simba.
Kama Thomas Ulimwengu si ndio....
 
Mazembe kasajir nani w afcon x kasajir mchezaj toka mbeaya city au unajisalisha
Mazembe ni levo ingine, kwanza huwezi kuta inasajili wachezaji nusu ya timu,pili huwa wanasajili kwa mahitaji maalumu ya muda mfupi na muda mrefu na kwa kuwa wanafanya scout lazima wasajili vipaji na mikataba mirefu,tofauti na yanga na simba unakuta karibu kikosi kizima cha simba na yanga hakuna mchezaji wa mkataba miaka mitano
 
Samahani,sihitaji imsajili nani,bali atakayesajiliwa aakisi kauli ya simba,kuwa inataka isajili nyota wazuri ili iwe sambamba na kina.AHALY,huwezi taka hivyo alafu ufanye haya bado utegemee matokeo bora,

Imsajili mchezaji kwa milioni 700 aje kugombania kombe la milioni 80? Mpaka hapo me naona simba inafanya vizuri tu,
 
Wako waliodai eti usajili huu watu watazimia lkn ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA,haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE,AS VITA,AL AHAL,MAMELOD SUNDOWN,ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA,au VIETNAM,mwisho iende mazembe lkn isajili mchezaji asiye na namba ktk kikosi cha mazembe,sio bure iko jambo,ma fans wa simba kaeni mutafakari,usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni okwi + juuko?au ninani,kwa lugha nyepesi simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo,
Mbumbumbu FC.
 
Hivyo sio kufuatilia viwango. Ni vyema.ucheki mechi walizoshoriki.. then ndio uje useme kuwa unajua viwango vyao. Vinginevyo ni story tu
Isikupe shida,ukitaka kujua uwezo wa waliosajiliwa na simba angalia profile zao,,anza na huyu 'aliyewahi kutamba mazembe2009/2013,nenda kwa wabrazili wa INDIA na VIETNAM,,,,endelea
 
Back
Top Bottom