Fun? Hebu rudi darasani, unaaribu lugha ya wenyewe
Are Are you gongowazi fun?
Are Are you gongowazi fun?
Mkuu hawajui hata Kahata, Walusimbi hawana timu ... Nyoni, Bocco, Haruna, Manula, Kagere, Kakolanya n.k kazi yao wanaijuaSio kila mchezaji anayeachiwa ni mbaya, sababu huwa ni nyingi, mfano Kotei ametoka Simba ni mbaya? Au Kagere alivyotaka Gormahia buree ni mbaya?
Kennedy na Mlipili kuna mashindano kama FA na Mapinduzi watacheza... halafu ukumbuke nafasi za nje ni 10 tu, huwezi kuwa na beki wote wageni unapunguza gape la nafasi ya kati na mbeleSimba waende pale Angola wakamsajili Bruno Gasper fullback ya kulia.
Mbadala ya juuko wakamchukue Timothy Awany wa KCCA ya uganda.
Ni dhihaka kubwa sana kwa timu kama simba kumsajili Kennedy Wilson ambaye hata kuzima mpira hawezi halafu tukategemea maajabu kwenye ligi.
Msimu huu tutaona mengi sanaWako waliodai eti usajili huu watu watazimia lkn ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA,haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE,AS VITA,AL AHAL,MAMELOD SUNDOWN,ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA,au VIETNAM,mwisho iende mazembe lkn isajili mchezaji asiye na namba ktk kikosi cha mazembe,sio bure iko jambo,ma fans wa simba kaeni mutafakari,usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni okwi + juuko?au ninani,kwa lugha nyepesi simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo,
Gor mahia 4 - 0 YangaKahata Hutu aliyehenyeshwa na ccmstars mpaka akatolewa kipindi cha kwanza tu.
Baada ya Tanzania kupata goli dakika za mapema kocha akaona apunguze kiungo aweke mshambuliaji.Kwa hiyo wachezaji wa Makonda stars ni bora maana Kahata alitweta akatolewa mapema sana.
Sasa huyo Kennedy si atakuja kuwabania namba vijana tu ?Kennedy na Mlipili kuna mashindano kama FA na Mapinduzi watacheza... halafu ukumbuke nafasi za nje ni 10 tu, huwezi kuwa na beki wote wageni unapunguza gape la nafasi ya kati na mbele
Wao wanajivunia Ally Mtoni Sonso na Makame MbalawaMtashangaa tena kama mlivyoshangaa mwaka uliopita maana ndo kazi yenu kuponda usajili then yanawatokea puani
Hata Nyoni ameshakuwa spana mkononi mkuu... mbavu namba 2 inabidi ifanyiwe kazi kabisaSasa huyo Kennedy si atakuja kuwabania namba vijana tu ?
Hata kama amesajiliwa kwajili ya mashindano madogo hana kiwango cha kuchezea simba wakati kuna homegrown player mwenye kiwango saw a naye tu.
Mapungufu ya simba ya wazi ni fullback wa kulia kutokana kapombe kuwa spanner mkononi, kushoto.
Hata Nyoni ameshakuwa spana mkononi mkuu... mbavu namba 2 inabidi ifanyiwe kazi kabisa
Africa hata 33 anagusa gozi mkuu.. ukiongeza na mikataba ya miaka miwili.. pia timu zetu zinapenda kusajili wapya 7+ kila seasonHata tatu ya Tshabalala anahitaji back up.
Kingine usajili huu ni wa maveteran hautaisaidia club wachezaji wote waliosajiliwa wako 30 waliobaki first 11 nao karibu wote wanaturn 30 hivi hawa simba wanatengeneza team ya aina gani ?
Gyan hana 30 mkuu... Halafu umri ni namba tu we angalia kazi yao tu..Nyoni 30
Bocco 30
Wawa. 30
Gyan. 30
Kagere 30
Hao wabrazil mmoja ana 30
Chama 28
Mkude 27
Okwi 29
Hii ndiyo timu ya ushindani ?
Nyoni 36Nyoni 30
Bocco 30
Wawa. 30
Gyan. 30
Kagere 30
Hao wabrazil mmoja ana 30
Chama 28
Mkude 27
Okwi 29
Hii ndiyo timu ya ushindani ?
Mzee wa gundu. Kila aendako ni majangaUsajili mwingine huo, View attachment 1145326
Pascal Wawa alizaliwa mwaka 1985Nyoni 30
Bocco 30
Wawa. 30
Gyan. 30
Kagere 30
Hao wabrazil mmoja ana 30
Chama 28
Mkude 27
Okwi 29
Hii ndiyo timu ya ushindani ?
Pascal Wawa alizaliwa mwaka 1985
Nani amesema hajafikisha?Kwahiyo hajafikisha 30
Sikusema yuko 30 net ila nilimweka kwenye group la wacgezaji ambao wameshaturn 30.Nani amesema hajafikisha?
Hapo umeweka 30 net wakati ana 34