Usajili huu wa simba,mashaka matupu

Usajili huu wa simba,mashaka matupu

nkungu mwere

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
258
Reaction score
336
Wako waliodai eti usajili huu watu watazimia lakini ukichunguza kwa makini hapo msimbazi utagundua kuwa TAJIRI KANUNA, haiwezekani timu inayotamba kuwa levo ya MAZEMBE, AS VITA, AL AHLY, MAMELOD SUNDOWN, ishindwe kupata vifaa vilivyopo AFCON badala yake iende kusajili mtu anayecheza ligi ya SUDANI au INDIA, au VIETNAM, mwisho iende Mazembe lakini isajili mchezaji asiye na namba katika kikosi cha Mazembe.

Sio bure iko jambo, ma fans wa simba kaeni mutafakari, usajili wa mwaka jana ulikuwa bora kuliko mwaka huu,(3brazili),(1sudani)=4,(1drc)=5,+chama+kagere+wawa=,8,hao ndio wachezaji wa kigeni ambao tayari wako msimbazi,nafasi zilizobaki ni 2, je ni Okwi + ju uko? au ni nani, kwa lugha nyepesi Simba imeshindwa kupata hata nyota mmoja kutoka AFCON zaidi ya waliokuwepo.
 
Are
Samahani,sihitaji imsajili nani,bali atakayesajiliwa aakisi kauli ya simba,kuwa inataka isajili nyota wazuri ili iwe sambamba na kina.AHALY,huwezi taka hivyo alafu ufanye haya bado utegemee matokeo bora,
Are you gongowazi fun?
 
Yan mim, nikishaanza kuona wabrazili tu, naanza kuhisi dalili mbaya. Ukiacha yule beki aliyetoka india, wale wengine wawili hamna kitu kwa mujibu wa data zao.

Lakini pia, nilitarajia kuona wachezaji wenye uzoefu wa CAF champions league, ambao kwa kutumia uwezo wao tungeweza kusumbua tena this season.

Ngoja tuone
 
Pia aliyesajiliwa umeshawahi mfatilia kujua kiwango chake?
Samahani,sihitaji imsajili nani,bali atakayesajiliwa aakisi kauli ya simba,kuwa inataka isajili nyota wazuri ili iwe sambamba na kina.AHALY,huwezi taka hivyo alafu ufanye haya bado utegemee matokeo bora,
 
Kosa la simba ni lipi? Unataka imsajiri nani ufurahie au uamini hii ndo simba?
 
Pia aliyesajiliwa umeshawahi mfatilia kujua kiwango chake?
Isikupe shida,ukitaka kujua uwezo wa waliosajiliwa na simba angalia profile zao,,anza na huyu 'aliyewahi kutamba mazembe2009/2013,nenda kwa wabrazili wa INDIA na VIETNAM,,,,endelea
 
Kiwango cha mtu kinapimwa kwa YouTube?
Isikupe shida,ukitaka kujua uwezo wa waliosajiliwa na simba angalia profile zao,,anza na huyu 'aliyewahi kutamba mazembe2009/2013,nenda kwa wabrazili wa INDIA na VIETNAM,,,,endelea
 
Huyu foward wa ki brazili
Screenshot_20190702-233105.jpeg
 
Yan mim, nikishaanza kuona wabrazili tu, naanza kuhisi dalili mbaya. Ukiacha yule beki aliyetoka india, wale wengine wawili hamna kitu kwa mujibu wa data zao.

Lakini pia, nilitarajia kuona wachezaji wenye uzoefu wa CAF champions league, ambao kwa kutumia uwezo wao tungeweza kusumbua tena this season.

Ngoja tuone
Usikariri vitu, nakupa mfano Francis Kahata ni bonge la mchezaji akikutana na mbugira mbugira wa Afrika mashariki ila Afcon kakutana na best players hakuna alichokifanya.

Hawa wachezaji waliosajiliwa na Simba SC wote kwa ujumla wao wako 50/50 huenda wakafanya vizuri au vibaya.

Medy Kagere msimu wake wa kwanza tu kawa fire ni nani alitarajia hili?
Je Balinya wa Yanga unauhakika kuwa atafanya vizuri TPL?

Tutaanza kuwahukumu au kuwapongeza baada ya ligi kuanza kwa sasa kaeni kimya
 
Anayeidharau ligi ya Sudan atakuwa hajui anachokizungumza.
Kwa taarifa yako, sio rahisi kumchukua mchezaji kutoka Sudan kwa timu kama Al Hilal na El Meriekh.

Tena hata hivyo Simba wamefanya usajili wa watu wengi, kwa timu waliyokuwa nayo msimu uliopita, walitakuwa kuongeza vichwa 3 tu kutoka nje na wachezaji labda 4 kutoka ndani. Sema ubora wa wachezaji wa ndani ndio una shaka kwa aina ya malengo ya Simba.
 
Hakuna wa kuidharau ligi ya sudani,bali ukiona mchezaji kaachwa na hizo timu basi jua iko namna,
Anayeidharau ligi ya Sudan atakuwa hajui anachokizungumza.
Kwa taarifa yako, sio rahisi kumchukua mchezaji kutoka Sudan kwa timu kama Al Hilal na El Meriekh.

Tena hata hivyo Simba wamefanya usajili wa watu wengi, kwa timu waliyokuwa nayo msimu uliopita, walitakuwa kuongeza vichwa 3 tu kutoka nje na wachezaji labda 4 kutoka ndani. Sema ubora wa wachezaji wa ndani ndio una shaka kwa aina ya malengo ya Simba.
 
Back
Top Bottom