Mjipange wadau maana wale majamaa wana maswali magumu. Hakikisha unafahamu vitu na si mambo ya kumeza maana utaumbuka..
Loh kwa mshahara gani kuwachosha watu tu!!
Mjipange wadau maana wale majamaa wana maswali magumu. Hakikisha unafahamu vitu na si mambo ya kumeza maana utaumbuka..
Mimi nimeitwa duce ndugu zangu
Mimi nimeitwa duce ndugu zangu
Wamekuita lini? Je walikupigia simu au walikutumia email? Na walikuita siku gani mkuu?
Walinipgia cm ijmaa niende j3
Wadau kwa wale walio fanya interview udsm hapo siku chache zilizopita kuna ambae ameitwa?
Mi pia nilifanya ila sijaitwa bado na sijuwi kama wameita mkuu
Ulifanya ya upande upi?
me nilifanya physics dept pale lakn cjaitwa bd pia
Mm niliambiwaga..ni fanye presentation... power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??
Nimefanya leo interview yao. Uliyosema ndo nilio kutana nayo. Ilikua interview very interesting, nimepigwa maswali meng sana na panel ya watu takribani 10. Nashukuru mungu nimeweza mudu interview kwa kujibu yalio ulizwa.
me nilifanya physics dept pale lakn cjaitwa bd pia
Mm niliambiwaga..ni fanye presentation... power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??
Acheni kutishiana,
MBONA Mimi nimesoma TEKU,
Na Nina GPA ya 1.9,
Na nimeitwa job!