Usaili wa TAA duu changamoto

Usaili wa TAA duu changamoto

Braibrizy

Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
29
Reaction score
548
Kwa mara ya kwanza leo nmewashuhudia invigilators wanacheka , Co poa interview zingine unakuta addition pepa zinaaombwa hadi unashangaa bt leo, utafikir tulikuw tumepewa True or False questions wakati ilikuw ni full maelezo..!
Binafsi mtihan umenitoa jasho coz nlizama sana kusom mambo ya darasani halaf mzgo ukaja Dudu la yuyu..!
 
Umeingia sa ngapi mpaka sa ngapi??me nlitakiwa kuingia sa 5 ila kwenye venue yangu walotakiwa kuingia sa 3 ndo wanaingia sasa hivi.
 
Usinikumbushe ya TPA, watu walipiga disc kama tunaenda fanya UE.. Tulichokikuta, mpaka saizi siamini kama nimetoboa kwenda hatua inayofuata.. Ni Mungu tu
Utumishi sio poa
Kwa mara ya kwanza leo nmewashuhudia invigilators wanacheka , Co poa interview zingine unakuta addition pepa zinaaombwa hadi unashangaa bt leo, utafikir tulikuw tumepewa True or False questions wakati ilikuw ni full maelezo..!
Binafsi mtihan umenitoa jasho coz nlizama sana kusom mambo ya darasani halaf mzgo ukaja Dudu la yuyu..!
 
Kwa mara ya kwanza leo nmewashuhudia invigilators wanacheka , Co poa interview zingine unakuta addition pepa zinaaombwa hadi unashangaa bt leo, utafikir tulikuw tumepewa True or False questions wakati ilikuw ni full maelezo..!
Binafsi mtihan umenitoa jasho coz nlizama sana kusom mambo ya darasani halaf mzgo ukaja Dudu la yuyu..!
Ni pepa gan hilo security au operation??
 
1. Explain the five important terminals used in electrical .
2,. The most common method used for connecting wire conductor is wire connector. Explain this process

3- explain the terminal boxes used for residential and cottage wiring projects .

interview hiyo ya Electrical Technician kama mtihani wa history asee!!! Ambao mliofanya hii paper poleni sana wakuu sio kwa aina hii unampima fundi mchundo kama unataka kuajili mwalimu wa historia au uraia.?
 
1. Explain the five important terminals used in electrical .
2,. The most common method used for connecting wire conductor is wire connector. Explain this process

3- explain the terminal boxes used for residential and cottage wiring projects .

interview hiyo ya Electrical Technician kama mtihani wa history asee!!! Ambao mliofanya hii paper poleni sana wakuu sio kwa aina hii unampima fundi mchundo kama unataka kuajili mwalimu wa historia au uraia.?
Kama ni hivi na watu wanalalamika ugumu....

Kuna mawili aidha uelewa mbovu.. Elimu mbovu au ugeni wa interview.

Mbona hayo ni mavitu ya kawaida saana.

Na siwatishi ila usitegemee kukuta interview simple kama mnayoiwaza.
 
1. Explain the five important terminals used in electrical .
2,. The most common method used for connecting wire conductor is wire connector. Explain this process

3- explain the terminal boxes used for residential and cottage wiring projects .

interview hiyo ya Electrical Technician kama mtihani wa history asee!!! Ambao mliofanya hii paper poleni sana wakuu sio kwa aina hii unampima fundi mchundo kama unataka kuajili mwalimu wa historia au uraia.?
Hii inajibika hata kwa elimu ya physics kidato cha nne.
 
1. Explain the five important terminals used in electrical .
2,. The most common method used for connecting wire conductor is wire connector. Explain this process

3- explain the terminal boxes used for residential and cottage wiring projects .

interview hiyo ya Electrical Technician kama mtihani wa history asee!!! Ambao mliofanya hii paper poleni sana wakuu sio kwa aina hii unampima fundi mchundo kama unataka kuajili mwalimu wa historia au uraia.?
Mbona maswali mepesi sana mkuu.
 
Back
Top Bottom