Usaili vyuo vya afya

Usaili vyuo vya afya

dawizzie

New Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
3
Reaction score
1
Za kuamka waungwana, naomba kuuliza juu ya application kwenye vyuo vya afya. Nina mdogo wangu kaapply st. Francis certificate ya pharmacy lakini mpaka Sasa hawajatoa majibu na ukiwapigia hawatoi majibu ya kueleweka wanadai serikali imewaambia wasitishe udahili ambapo muda wa kusoma unakaribia so naomba mwenye kujua vyuo vinavyodahili kwa Sasa hivi upande wa afya tusaidiane madogo wakasome.
 
Kwanini mtu anaomba kusoma certificate? Kwanini asiombe diploma kabisa ? Maana hata akisoma certificate akienda diploma anarudia tena kusoma certificate , kama ufaulu wake ni mdogo alafu anasoma certificate baadae ili apate sifa za kuomba kozi sawa lakini anaenda kupata tabu sana huko mbeleni , haswa kwa kozi za udaktari hawapendi mtu aliyeungaunga pia kama form 4 ameharibu ni bora akatengeneza cheti chake cha form 4 maana huko mbeleni ni tabu tupu , ukiend kuomba kazi wanataka cheti cha form 4 ,ushindani kwenye ajira wanaangalia form 4 , chaguzi za kusoma degree wanaangalia form 4 , kwanini asisome diploma kabisa , maana hapo na certificate atasoma miaka minne kama akita kusoma na diploma.
 
Nitafute kwa namba 0756936931 nikupe ushauri ila nipigie usinitumie msg
Za kuamka waungwana, naomba kuuliza juu ya application kwenye vyuo vya afya. Nina mdogo wangu kaapply st. Francis certificate ya pharmacy lakini mpaka Sasa hawajatoa majibu na ukiwapigia hawatoi majibu ya kueleweka wanadai serikali imewaambia wasitishe udahili ambapo muda wa kusoma unakaribia so naomba mwenye kujua vyuo vinavyodahili kwa Sasa hivi upande wa afya tusaidiane madogo wakasome.
 
Back
Top Bottom