Usaili TFDA umefikia wapi?

Usaili TFDA umefikia wapi?

Mchinjo unaendelea,

Halafu acha umbea kuuliza yasiyokuhusu
 
Jamani kunani usaili TFDA mbona hamna mrejesho wadau naomba tuambizane

Sent using Jamii Forums mobile app


Labda unamaanisha TRA ila TFDA tayari .....Alafu ukiapply kazi si unaambiwa uwe unatembelea ajira portal mara kwa mara ! ...Sasa kama uliapply kwanini usiwe unatembelea hujui huo pia ni mchujo na ulijichuja mwenyewe ..... pole aisee
 
Back
Top Bottom