Hai sijajua mkuuAhsante Mkuu, vipi Kwa wilaya ya Hai ni lini?
Mkuu upo hapa Rombo Mkuu au wapi?Huko Rombo mkoani Kilimanjaro usaili ni leo
Kuhusu nyamagana sijui,Ila Kuna mdogo wangu mmoja amehitimu chuo mwaka huu course ya IT, alituma maombi Geita, leo asubuhi ameenda kwaajili ya usahili.Nyamagana wao vip?
Nyinyi SI ndo hamtak maendeleo ya vitu?Wasalaam wakuu!
Kwa waliotuma maombi ya kusimamia zoezi la kupiga kura nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Mbona hakuna updates zozote za kuitwa kwenye usaili, au inafanyika chini kwa chini?
Tujuzane mlioomba wilaya tofauti tofauti.
Hapana, nimepewa taarifa hizi na mtu wa karibu tu.Mkuu upo hapa Rombo Mkuu au wapi?
kweli aiseTuendelee kujulishana wakuu, tuipambanie iyo 45k
Nenda uangalie majina kwenye kata yako wanabandika hawatumi tena textwaliofanya usailo jimbo la morogoro,nani ameitwa?