Habari Ba'ndugu,
Viipi kuna aliye sikia chochote kuhusu usaili wa hizo Taasisi mbili za serikali kwa kazi zilizotangazwa miezi michache iliyopita EWURA deadline ilikua 21/08, ila TRA nafikiri ilikua mwezi wa 5 hv. Daah mtaa unaumiza mbaya, tujuzane ata kwa mwenye info zozote. 😕