Mkuu #bukoba04 watu walipigiwa simu siku ile ile jioni kwa ajili ya oral.Taarifa hizi ni kutoka chanzo sahihi.Wadau hawa jamaa wa Duce waliaidi kuwapigia watu simu, kwa wale watakaofanikiwa kufaulu kuendelea na hatua ya oral..
Swali je, kuna aliyeitwa humu ndani, ili tuendelee kuwaza mambo mengine!?