Usaili Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili

Usaili Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili

nasi

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
47
Reaction score
20
wadau kwa wale walioomba nafasi za kazi pale muhimbili University,fungueni website yao kuona jina lako kama umeitwa
 
Thanks for the information kaka; naona wameita non academic posts; mimi niliapply for an academic post, zaidi ya mwezi mzima umeshapita sasa na nilikuwa nimeshakata tamaa.
 
Asante ni kweli wameita Namshukuru Mungu nipo pia,kule Adminstrative,ila post 2 shotlisted ni kama 198 its disaster.tuombeane.
 
Asante ni kweli wameita Namshukuru Mungu nipo pia,kule Adminstrative,ila post 2 shotlisted ni kama 198 its disaster.tuombeane.

wameniita procurement officer 2, tuko 110 nafasi sijui zilikuwa ngapi?!
 
Asante ni kweli wameita Namshukuru Mungu nipo pia,kule Adminstrative,ila post 2 shotlisted ni kama 198 its disaster.tuombeane.



Svoca hizi post mbili wengine wanaenda kutimiza wajibu

kuna mtoto wa pinda... Mwingine nimeona chiligati.. N.k

chrispin mizengo pinda

sisemi watapendelewa bt mh......
 
habar zenu wana-jf?mm ni kat ya walioitwa kwa interview muhas kwenye kada fulan,ila kuna m2 amenkatsha tamaa sana kwa kuniambia 2naenda kuuza sura wkt nafas zina watu tayar,akanipa mfano ktk kada za administrative officer jina namba tisa(ctaltaja labda mwenye kupenda akaptie)akasema unadhan jina la mtu huyu atakosa nafas?kwakwel baada ya kuchek jina nlipoteza matumaini nikakumbuka yalee ya uhamiaji,ila namwomba mungu atuokoe vjana wa tz ktk janga hili la ajira jmn vjana 2nateseka,yah kuna njia mbadala ya kujiajiri but swali linakuja kivipi?kwani weng tumetoka familia duni najiulza mtaji wa kuanzisha biashara napata wap?ndg kutokana na elimu duni anajua una degree lzma utakua na hela tu,hpa maisha yanazd kuwa magumu kwan wanashndwa hta kukusaidia,my point is mashirika yanayotoa nafas za kaz yatende hak ktk kuajiri kulkon kuwasumbua vjana kuhudhuria usaili hewa kumbe wanakua wana majna ya waajiriwa tayari,mungu awatangulie wote naamini cku moja atatenda kwa wote@
 
habar zenu wana-jf?mm ni kat ya walioitwa kwa interview muhas kwenye kada fulan,ila kuna m2 amenkatsha tamaa sana kwa kuniambia 2naenda kuuza sura wkt nafas zina watu tayar,akanipa mfano ktk kada za administrative officer jina namba tisa(ctaltaja labda mwenye kupenda akaptie)akasema unadhan jina la mtu huyu atakosa nafas?kwakwel baada ya kuchek jina nlipoteza matumaini nikakumbuka yalee ya uhamiaji,ila namwomba mungu atuokoe vjana wa tz ktk janga hili la ajira jmn vjana 2nateseka,yah kuna njia mbadala ya kujiajiri but swali linakuja kivipi?kwani weng tumetoka familia duni najiulza mtaji wa kuanzisha biashara napata wap?ndg kutokana na elimu duni anajua una degree lzma utakua na hela tu,hpa maisha yanazd kuwa magumu kwan wanashndwa hta kukusaidia,my point is mashirika yanayotoa nafas za kaz yatende hak ktk kuajiri kulkon kuwasumbua vjana kuhudhuria usaili hewa kumbe wanakua wana majna ya waajiriwa tayari,mungu awatangulie wote naamini cku moja atatenda kwa wote@

Kuna jina la mtoto wa pinda pale

ila syo mby kuhudhuria usaili wa muhas kama upo karibu na eneo la tukio
 
Hapa hakuna cha kumtumainia Mungu ukweli ni kuwa watakaoajiriwa wanawajua
 
Habari za sahii wapendwa, sasa mimi leo nimetumiwa sms ya kuitwa katka usail MUHAS. Ila nilipojarbu kuangalia majina ya walioitwa kwenye usail jina langu cjaliona.
Wasiwasi unakuja sasa je hili swala halitaleta shida hiyo siku ntakapokwenda kweny usail?? naomben ushauri wenu
 
Me nadhani usiache kwenda hasa kama upo ndani ya Dar then utajua huko huko muhmu hyo mes.usifute maana huwezi jua kwa nn wamefanya hvyo,au kama vp piga hyo no. Uulize vzur.
 
Back
Top Bottom