Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
- Thread starter
- #21
Nimekuja kusahihisha kile ulichokisikia, siwezi kuanza kutukana watu bila sababu za msingi, mimi sio kichaa. Na kuhusu heshima hilo ndilo vazi langu.una uhakika kama kweli wewe Juliana, mbona nasikia ulimtukana yule mama anayeweza kukuzaa mbunge wa chadema? ukiheshimu watu na wewe utaheshimiwa, wapange mkakati wa kukudhuru wewe ni nani, mbona wapinzani mnawaona maadui jamani, na wao ni binadamu kama wewe, kumbuka cheo ni dhamana, hapo umeteuliwa je ungechaguliwa na wanachi ungekuwaje, unajiita unbreakable, haya mama, ila mark ur tongue, mie sijawahi sikia hata siku 1 watu wakashughulika na wewe, kuna agenda ya wao na wewe imejificha, lakini muda utasema wacha tusubiri,
Ingefaa zaidi kuwauliza waliopanga njama hizo, wangekusaidia kujua kwanini wamepanga kunidhuru lakini jambo lingine la ziada nitakalokukumbusha ni kuwa, hapo zamani za kale aliwahi kukamatwa mtu na sumu akitakiwa kumwekea Zitto.