kwa niliyoyashuhudia weekend hii, nilisikitika sana
weekend niliingia Club moja, upande wetu kulikua na wadada wawili,mmoja anacheza (Msagaji), mwingine amekaa anakunywa REDS(msagwaji)
Kulikua na pedeshee mmoja pembeni mara akaungana na mdada akicheza nae,
Yule mdada aliekua kakaa alikuja akaisukuma ile njemba kwa jazba kali, mdada alizua ugonvi mkubwa mpaka baunsa ikabidi waingilie kati kuwatoa njee,mdada alitoa machozi mbele za watu alidiliki kusema"KWANI HUYO MBABA ATAKUPA SHI NGAPI MINIKULIPE SAIVI, kale kadada kengine kalicheka tu,: mpaka nikashangaa kunanini
Kumbe wale wadada ni maarufu kwa usagaji,ndo wenyeji wakasema hapo kuna mke na mume, mke hua anamlipa pesa uyo msagaji,
lodge+vinywaji vyote hua juu yake, baada ya ugonvi kwisha walipanda text na kuondoka, wadau wakasema hapo wanaekekea lodge
wadau walienda mbali zaidi na kudai hako kadada hua kanagombaniwa na wanawake balaaa, kamesha wafanyia michezo iyo wanawake wengi sana,nikundi kubwa sana,
ukikangalia kadada ni kazuri karembo haswaaaa,
Nilifikilia sana nikasema"dunia inamambo"
Kumbe ndoa nyingi sikuizi hazieleweki wanaume wanajua wanachukuliwa na vidume wenzao kumbe kuna hawa ni hatari zaidi kuliko vidume,
Kama kidume hua unamchunguza mkeo/mpenzi inabidi uongeze uchunguzi zaidi na hawa viumbe
Ni hatari
weekend niliingia Club moja, upande wetu kulikua na wadada wawili,mmoja anacheza (Msagaji), mwingine amekaa anakunywa REDS(msagwaji)
Kulikua na pedeshee mmoja pembeni mara akaungana na mdada akicheza nae,
Yule mdada aliekua kakaa alikuja akaisukuma ile njemba kwa jazba kali, mdada alizua ugonvi mkubwa mpaka baunsa ikabidi waingilie kati kuwatoa njee,mdada alitoa machozi mbele za watu alidiliki kusema"KWANI HUYO MBABA ATAKUPA SHI NGAPI MINIKULIPE SAIVI, kale kadada kengine kalicheka tu,: mpaka nikashangaa kunanini
Kumbe wale wadada ni maarufu kwa usagaji,ndo wenyeji wakasema hapo kuna mke na mume, mke hua anamlipa pesa uyo msagaji,
lodge+vinywaji vyote hua juu yake, baada ya ugonvi kwisha walipanda text na kuondoka, wadau wakasema hapo wanaekekea lodge
wadau walienda mbali zaidi na kudai hako kadada hua kanagombaniwa na wanawake balaaa, kamesha wafanyia michezo iyo wanawake wengi sana,nikundi kubwa sana,
ukikangalia kadada ni kazuri karembo haswaaaa,
Nilifikilia sana nikasema"dunia inamambo"
Kumbe ndoa nyingi sikuizi hazieleweki wanaume wanajua wanachukuliwa na vidume wenzao kumbe kuna hawa ni hatari zaidi kuliko vidume,
Kama kidume hua unamchunguza mkeo/mpenzi inabidi uongeze uchunguzi zaidi na hawa viumbe
Ni hatari