Usafiri wa Ungo !


...Mkuu Sun Wu, kimsingi ninakubaliana nawe.
Lakini, pamoja na kuwa elimu tunayo pata inatuaminisha kutoamini jambo hadi liwe limedhibitishwa Kisayansi(na Wazungu?), bado ninaamini pia kwamba sisi kama waafrika tunapaswa kuweka pia issue kama ya 'kuruka na ungo the benefit of doubt.

Tunapaswa kujiuliza;What if it is really Possible?
What if mababu wa mababu zetu walikuwa wamegundua 'Sayansi' ya Kiafrika ya kuuwezesha Ungo kuruka hewani lakini kutokana kutojua kwako kuandika, kusoma na kuweka kumbukumbu, 'sayansi' hiyo ikaishia kurithishwa kizazi na kizazi kwa mdomo tu na ikafika mahali wale waliokuwa wakiifahamu kweli wakatoweka?

Unasema kwamba huamini kitu bila kushuhudia mwenyewe kwa macho? Samahani, nachepukia kidini kidogo ili kuipa hoja yangu uzitona Samahani sana kwa wote watakaokwazika. Si nia yangu kuwakwaza maana mimi mweyewe ni Mkristo.

Mkuu Sun Wu, Unaamini kwamba bahari inaweza kugawanyika pande mbili kwa mtu kuinyooshea kidole? Hukuiona, Unaaminije kuwa ni kweli? (hii ni kama wewe ni mkristo)

Najua jibu la haraka linaweza kuwa hayo ni mambo ya imani. Good. sasa kama unaweza kuwa na imani kuwa bahari inaweza kutenganishwa katikatiwhy not also Ungo kupaa kwa Sayansi ambayo bado ipo juu ya ufahamu wetu wa kawaida??

Unaamini kwamba watu walifika mwezini mwaka 1969? unaaminije? ulishuhudia?
Kwa Tv? Picha?
Unaamini kwamba kuna UFO, Unidentified Flying Objects, vyombo vya anga vinavyosadikiwa kutoka anga za mbali kuja kuvinjari anga la dunia?
Kama unaamini, umevishuhudia kwa macho yako mwenyewe?
Kama huamini, kwa nini wakati hii inaendana na Sayansi inayokuzuia kuamini kuwa ungo unaweza kuruka kwa maana ya kwamba kama vipo kweli, bado hakuna ajuaye vinatumia nini kutoka huko vinakotoka hadi kufika anga letu?

Umetumia sana google ku-crash hoja ya watu wa aina ya Uli Gerrer kuwa na. uwezo wa kupindisha kijiko.
Je tuamini kwamba kweli duniani hakuna watu wa aina hiyo na kwamba wote wanaofanya hivyo ni tricks tu?
Nilisoma mahali kwamba huyu bwana alipatwa hata kualikwa kwenye jumba kuu la Malikia wa Uingereza kwa ajili ya kuuenzi uwezo wake huo.
Je walifanya hivyo kuuenzi uwezo wake wa kufanya magic tricks ya kupindisha vijiko na uma ama walifanya hivyo kwa kuuenzi uwezo wa ziada alio nao wa kuweza kufanya yale yaliyo juu ya uwezo wa kawaida wa binadamu?

Nimependa hayo maneno yako niliyo-bold.Naamini pia kuwa Waliotusomesha walifanya hivyo ili kutupa uwezo wa kuchanganua mambo. Hatupaswi kuhukumu moja kwa moja kwamba HAIWEZEKANI mtu kuruka kwa Ungo.
What if it is really Possible????
 

...Nimekusoma Mkuu na tupo pamoja.
...Nimepasoma pia hapo uliponilekeza pa 'Clarke's three laws': Binafsi nimeipenda zaidi ile ya Pili:

......'The only way of discovering the limits of the possible is to venture a little way past them into the impossible'.
 
Hakuna kitu kama hicho!

Wale ni wezi na matapeli waliokamatwa on the act!
Kwanza walivyokaa na kuongea si kama watu wa Mbeya, ati wanachukua masaa matatu kufika Mbeya!
Heri wapande Fastjet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…