kwa kweli umeonesha upeo wa chini wa kufikiri, lengo la chadema si kutoa matusi, lengo ni kuona, kuhakikisha watanzania wote wanakua na maisha bora, ajira, usafiri mzuri, in short kuondokana na umaskini wewe inaonekana ulikua na mtizamo hasi,,,unahitaji maombi na kufunga M4C