hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,338
- 80,206
Anashindwa kweli kutafuta kijana wa kumnunulia ka vitz
Sina uhakika kama sisi waafrika watanzania tunaweza kujenga kitu kikadumu miaka 50. Hata bajeti tu za mwaka mwaka zinapitishwa bungeni lakini utekelezaji ndio asilimia 16 kwa baadhi ya wizara na nyingine asilimia 200 kama Prof. Asad alivyosema. Kama kitu cha mwaka mmoja tu results ndio hizo, tukipanga cha miaka 10 mbele si tutasababisha majanga kabisa!mm hata sielewi waliobuni mradi huu walikuwa wanafocus miaka mingapi mbele ! Anyway kwa kusema kweli kabisa hawa watalaam kwa wakati huo wlipokuwa wakibuni mradi huo sijui mwaka gani walikuwa nyuma miaka 30 ndio kinachotugharimu sasa hivi. ukiangalia hata flyover ya mfugale pale tzr itaaleta shida itaja onekana haisaidii kitu miaka kumi ijayo.
Vijana wenyewe na wao wanatafuta wanawake wakuwapa vitsAnashindwa kweli kutafuta kijana wa kumnunulia ka vitz
Nadhani ana kauzembe fulani.
Vijana wenyewe na wao wanatafuta wanawake wakuwapa vits
Baba angu tena. Kwanini nisikununulie mimi