Usafiri wa Milima: Mwanza Electricity Wire Van Transport

Usafiri wa Milima: Mwanza Electricity Wire Van Transport

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,341
Reaction score
1,499
Habari Tanzania !

Tunawaomba TANESCO na Wizara ya Usafirishaji na Uchukuzi si mtupatie hii huduma watu wa Mwanza maalumu wakazi wa Milimani.
Mfunge Usafiri waya kutoka:

1. Mkuyuni - Bugando - Mabatini - Mahina.

2. Kigoto - Kirumba - Bwiru

3. Mirongo - Kilimahewa - Buswelu.

NB
Watani zetu Wasambaa toka Lushoto na Wapare wa Usangi na Ugweno watuonee wivu ariiiikah.

Karibu.
 
Wapo kwenye kampeni muda huu ndugu, wanapanga mikakati ya kutaifisha mabox ya kula na jinsi ya kukabiriana na mlipuko wa maandamani, hoja yako iweke kabatini utawaletea mwakani.
 
Kwamba hili wanafanya Tanesco ?

Kama unaona wazo ni viable na wewe ni Mtu binafsi weka proposal yako sanasana ongea na watu wa usafirishaji na kuangalia mambo ya usalama (safety) na kama wateja wapo na biashara yako ni viable (utapata wateja wa kutosha ku-overcome investment) basi utafanya hivyo...

Hii ni risky hivyo ni bora ikawa private venture na sio kutumia Kodi zetu... (Ushauri wazo lako peleka sehemu kama Arusha au huko kwenye Mbuga kwa ajili ya watalii huku unaweza kujikuta unachungulia watu kwenye faragha zao kwenye vyoo vyao vya mbavu za mbwa)

Tanesco waache wahakikishe umeme unashuta at most au atleast wanarudisha Tariff Zero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom