Hivi hizo barabara za magari ya kwenda kasi huko dar jamani zimekamilika? Nilikuwa huko wakati wa miezi miwili iliyopita kulikuwa na vurugu sana ya ujenzi, Je mabasi yaendayo kasi mmiliki atakuwa ni nani serikali au ni watubinafsi watawekeza, na sijui yatakuwa vipi