Usafiri wa haraka mjini Dar

nummy

JF-Expert Member
Aug 20, 2011
587
166
Hivi hizo barabara za magari ya kwenda kasi huko dar jamani zimekamilika? Nilikuwa huko wakati wa miezi miwili iliyopita kulikuwa na vurugu sana ya ujenzi, Je mabasi yaendayo kasi mmiliki atakuwa ni nani serikali au ni watubinafsi watawekeza, na sijui yatakuwa vipi
 

Attachments

  • IMG_0128.JPG
    IMG_0128.JPG
    1.2 MB · Views: 100
Back
Top Bottom