Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,068
- 12,652
Nahitaji kufika dodoma kutokea Dar nauliza bus ni mpaka nikapandie Mbezi ama kipo kituo kingine? Na muda wa kuondoka ni ule ule alfajiri au hata mchana naweza pata gari?
Naomba kujua na nauli pia kutoka Dar - Dodoma.
Naomba kujua na nauli pia kutoka Dar - Dodoma.