Usafiri wa basi kutoka Dar kwenda Uganda

Usafiri wa basi kutoka Dar kwenda Uganda

Usafiri wa basi kutoka Mwanza hadi Kampala ni shilingi 45000 za kitanzania na kutoka Bukoba Hadi Kampala ni shilingi 18000 hadi 20000 elfu za kitanzania na kutoka Kahama hadi Kampala ni 35000 elfu za kitanzania
So route nzuri toka dar hadi kahama tsh 40,000,then kahama to kampala 35,000 jumla 75,000.
 
Ulisafiri mkuu na vipi zawadi ulizotuletea tuzifate lini
 
Kwea fastjet inapaa kutokea dar na KIA direct kwenda ENTEBBE kwa being nafuu
 
Duh nauli imefika 110,000??? nmeanza kupanda akamba 30k miaka ya 2000's. then Scandinavia 40k. Then ikaja regional 35k. mwaka juzi nmekwenda kwa kampala coach nauli ilikuwa 85k.
But nilikuwa naienjoy kufanya connection esp nikikosa bus ya direct. Natoka Dar-Arusha-Nairobi -Busia-Kampala. Au Kampala - busia - Kericho - Nairobi - namanga - arusha - dar
 
Duh nauli imefika 110,000??? nmeanza kupanda akamba 30k miaka ya 2000's. then Scandinavia 40k. Then ikaja regional 35k. mwaka juzi nmekwenda kwa kampala coach nauli ilikuwa 85k.
But nilikuwa naienjoy kufanya connection esp nikikosa bus ya direct. Natoka Dar-Arusha-Nairobi -Busia-Kampala. Au Kampala - busia - Kericho - Nairobi - namanga - arusha - dar
Huko mbali hivyo unazunguka hadi akili inakukaa na nauli ni kubwa sana. Ukipita kahama-bkb-kampala unaingia mapema sana na nauli yako unarudishiwa na chenji
 
Huko mbali hivyo unazunguka hadi akili inakukaa na nauli ni kubwa sana. Ukipita kahama-bkb-kampala unaingia mapema sana na nauli yako unarudishiwa na chenji

Ivi inachukua masaa mangapi toka Dar hadi Uganda kwa bus za Taqwa Mkuu, ,,,wife anataka kwenda kufuata mzigo,,,na nauli ni Tsh. Ngapi boss
 
Mtupe update za sasa? Kuhusu nauli wakuu
Sijui kama bado kuna watu wengi wanasafiri kwenye hizi route?
Ujio wa Magufuli, Covid na kudorora kwa biashara kumepunguza safari za kukatisha mipakani kwa hizi nchi ya ukanda huu.
 
Naweza jua nauli ya Dar to Kampala ya hivi karibuni kwa safari ya moja kwa moja au ya kutokea bukoba tokea Kampala wananzengo mnisaidie kujua

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
PANDA TAQWA NA KUHUSU PASSPORT NI LAZIMA,ILA UKIKWAMA ANDAA KAMA ELFU 10 AU 20 HIVI UKIFIKA MUTUKULA BORDER UTAPEWA PERMIT YA KWENDA UGANDA KWA UPANDE WA TZ WATAKUPA BURE AU WANAWEZA KUKUOMBA YA SODA KAMA TEN HIVI,NA UPANDE WA UGANDA ILI WAKUGONGEE MUHURI NI LAZIMA UTOE KIASI KIDOGO PIA,ILA KAMA HUTAKI USUMBUFU CHUKUA PASSPORT ILE YA KAWAIDA TU NI KATI YA 35000,AU 30000/= NA KUNA BASI LINAITWA FRIENDS PIA UNAWEZA KUULIZA HAPO MBEZI NI BASI ZURI SANA, JAPO HATA TAQWA SIO BAYA
 
PANDA TAQWA NA KUHUSU PASSPORT NI LAZIMA,ILA UKIKWAMA ANDAA KAMA ELFU 10 AU 20 HIVI UKIFIKA MUTUKULA BORDER UTAPEWA PERMIT YA KWENDA UGANDA KWA UPANDE WA TZ WATAKUPA BURE AU WANAWEZA KUKUOMBA YA SODA KAMA TEN HIVI,NA UPANDE WA UGANDA ILI WAKUGONGEE MUHURI NI LAZIMA UTOE KIASI KIDOGO PIA,ILA KAMA HUTAKI USUMBUFU CHUKUA PASSPORT ILE YA KAWAIDA TU NI KATI YA 35000,AU 30000/= NA KUNA BASI LINAITWA FRIENDS PIA UNAWEZA KUULIZA HAPO MBEZI NI BASI ZURI SANA, JAPO HATA TAQWA SIO BAYA
Passport ya kawaida ya 35000 ikoje mkuu??
 
Mliosafiri kwa magari binafsi mtupe uzoefu wenu kuhusu vikwazo upande wa Uganda!

Rushwa, Usumbufu wa Polisi na uhamiaji, usalama etc
 
Naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka Dar es salaam kwenda Uganda ni shilingi ngapi. Na ni bus gani zuri la kusafiria? na kwenda Uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida.
Nikurahisishie tu ndugu yangu ili usipate usumbufu panda gari za bukoba. Lala bukoba asubuhi unapanda gari za bukoba Hadi Boda ya mtukura. Pale utapata magari mengi sana. Ila ukipanda la Moja kwa Moja kwa shabiby au dar luxy nauli kwa sasa ni laki mbili. Na utaptia Nairobi. Bukoba ni short cute. Na utatumia kama laki 1 tu.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka Dar es salaam kwenda Uganda ni shilingi ngapi. Na ni bus gani zuri la kusafiria? na kwenda Uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida.
kama unaenda kusoma niamini mimi baki tu bongo. Pass ni ya karatasi.
 
Back
Top Bottom