GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Heshima zenu wasafiri wazoefu!
Ukiacha Shirika letu la ATCL, ni mashirika gani bora ya Ndege, hasa zinazomilikiwa na nchi za Kiafrika, kwa safari ya Dar - Dubai?
Daraja ni la UCHUMI!
Nimeshasikia mashirika yafuatayo yakisifiwa!
1. Kenya Airways(KQ)
2. Ethiopian Air Lines (EAL)
3. RwandAir
4. South African Airways (SAA), ingawa sijui kama yanatoa huduma ya Dar - Dubai
Unalipendekeza shirika lipi kwa mtu anayeenda Dubai kwa mara ya kwanza?
Mtazamo wangu! Kwa kuwa inasemekana ndege za mashirika husika hupitia kwenye nchi zao kabla ya kufika yanakoenda, ninapendekeza kama ifuatavyo:
1. Wakati wa kwenda apande Ethiopian Air Lines ili apate fursa ya kupaona Addis Ababa
2. Wakati wa kurudi apae na SAA ili apitie South Africa japo sijui kama huo mzunguko utawezekana.
Nini ushauri wako?
ANGALIZO: Sina uzoefu na niliyoyaandika! Nisahihishwe kwa manufaa ya wengi!
Asanteni!!!
Ukiacha Shirika letu la ATCL, ni mashirika gani bora ya Ndege, hasa zinazomilikiwa na nchi za Kiafrika, kwa safari ya Dar - Dubai?
Daraja ni la UCHUMI!
Nimeshasikia mashirika yafuatayo yakisifiwa!
1. Kenya Airways(KQ)
2. Ethiopian Air Lines (EAL)
3. RwandAir
4. South African Airways (SAA), ingawa sijui kama yanatoa huduma ya Dar - Dubai
Unalipendekeza shirika lipi kwa mtu anayeenda Dubai kwa mara ya kwanza?
Mtazamo wangu! Kwa kuwa inasemekana ndege za mashirika husika hupitia kwenye nchi zao kabla ya kufika yanakoenda, ninapendekeza kama ifuatavyo:
1. Wakati wa kwenda apande Ethiopian Air Lines ili apate fursa ya kupaona Addis Ababa
2. Wakati wa kurudi apae na SAA ili apitie South Africa japo sijui kama huo mzunguko utawezekana.
Nini ushauri wako?
ANGALIZO: Sina uzoefu na niliyoyaandika! Nisahihishwe kwa manufaa ya wengi!
Asanteni!!!