Gari ndogo nataka kuondoka jioni saa 10 jioniHamna shida hata kidogo kusafiri usiku labda swali lako limekosa maelezo yanayojitosheleza.
Kwanza safari yako unategemea kutoka Dar kuanzia muda gani?
Je utatumia gari ya aina gani?
Je ni mara yako ya kwanza kwenda mtwara?
Kuhusu usalama hali ni shwari sana mimi mwenyewe huwa naenda masasi muda wowote ninaojisikia na sijawahi kupata matatizo ya usalama
Wewe lazima uwe mboga ya wasiojulikana!Natoka dar saa 10 jioni
Rufiji na kibiti utapita mapema ya kuanxia kumina mbili hadi moja kasoro kama unatembea mwendo was serikali ( 80 km/ hrNatoka dar saa 10 jioni
Muda wa saa 10 ni mzuri sana maana sehemu ambayo wewe unaogopa utakuwa umeshaivuka na ukishafikia meeneo ya somanga,nangurukuru basi umeshafika safari yako vizuriGari ndogo nataka kuondoka jioni saa 10 jioni
Ingekuwa Moro road usingekosa lakini huko kukavu sana hakuna waremboHakuna binti humu anayetaka lift tuongozane naye?
Vipi nikitoka saa nane usiku
Ni rahisi kuziona changamoto za barabarani!Kwanini mkuu
Ok,nasafiri na rav4...kilometer mbaya ni za kipande ganiUnasafiri lini na upo na gari aina gani kama unatumia tyre low profile uwe tu makini barabara ina shimo sana kila km 20 lazima ukutane na lori za dangote na zile zinazobeba ufuta zina mwanga mkali sana so watchout