Usafiri Arusha Shinyanga

Usafiri Arusha Shinyanga

Mkwamishaji

Member
Joined
May 21, 2013
Posts
37
Reaction score
39
Natarajia kusafiri kutoka Arusha kwenda Shinyanga siku ya J/mosi, nahitaji kujua basi zuri.msaada tafadhali
 
Usipopewa ushauri wa gari zuri ina maana hautasafiri.

Ingekuwa safari ya kwenda Rukwa mbona ungetoa matangazo redioni.
 
Panda Asante Rabi nauli tshs 25,000 saa tisa kasoro uko Shinyanga! Full charger, halisimami ovyo njiani na hutagonganishiwa siti ulipokata ndo utakapo kaa. Tena unashushiwa kwenye Stand zao hapo Ibinzamata karibu na Serengeti bar! Sio kule Manyoni wanaposhushia mabasi mengine
 
Panda Asante Rabi nauli tshs 25,000 saa tisa kasoro uko Shinyanga! Full charger, halisimami ovyo njiani na hutagonganishiwa siti ulipokata ndo utakapo kaa. Tena unashushiwa kwenye Stand zao hapo Ibinzamata karibu na Serengeti bar! Sio kule Manyoni wanaposhushia mabasi mengine

Shukrani sana
 
Back
Top Bottom