Binafsi EL kama binadamu yoyote yule anamapungufu yake. Kwenye hili la Richmond nahisi amelivalia junga kwa sababu anaona ameonewa. RA ni beneficiary wa Richmond. ametake cover nyuma ya EL kupunguza mashabulizi kwake.
CCM pamoja na viongozi wake, wanamatatizo makubwa ya kutoa maamuzi magumu. Hivi issue ya Chenge inahitaji mjadala? Katika utawala bora , M/kiti angemuita na kumwambia aresign kutoka kwenye chama. Mpasuko ndani ya CCM ni kwa sababu hamna mtu ambaye yuko tayari kuchukua action kuhusiana na major issues zinzaotokea.
CCM pamoja na viongozi wake, wanamatatizo makubwa ya kutoa maamuzi magumu. Hivi issue ya Chenge inahitaji mjadala? Katika utawala bora , M/kiti angemuita na kumwambia aresign kutoka kwenye chama. Mpasuko ndani ya CCM ni kwa sababu hamna mtu ambaye yuko tayari kuchukua action kuhusiana na major issues zinzaotokea.