more88
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 447
- 412
Takribani wiki moja sasa mgambo wa jiji wamekuwa wakikagua usafi maeneo mbalimbali ya jiji lakini zoezi hili sasa linaenda kuwa kero kwa wananchi maana wanatoza fine kubwa sana ya sh 50,000 na hali ya sasa ya wananchi kwa kweli ni kiasi kikubwa sana kwa walala hoi! Biashara nyingi sana zimefungwa kwa watu kuogopa mgamboo wa jiji,, nimekaa sehemu naona wananchi wamebebwa kwenye bajaji kupelekwa serikali za kata kulipia fine,
Vipi zoezi hili katika maeneo mengine wadau ??
Vipi zoezi hili katika maeneo mengine wadau ??