Usafi kwa mwanamke huongeza hamu ya tendo la ndoa maradufu

Hivi hii kitu barafu,asali na limao ni kweli!!
Cc: joshydama
Yap!

Mwaka jana kuna clip moja niliangalia ya mdada mmoja ambae alikuwa anatumia asali akidai kwamba mashine itakuwa tamu mwisho wa siku palioza na kuweka wadudu fulani hivi weupe!
 
Yap!

Mwaka jana kuna clip moja niliangalia ya mdada mmoja ambae alikuwa anatumia asali akidai kwamba mashine itakuwa tamu mwisho wa siku palioza na kuweka wadudu fulani hivi weupe!
Weweeeeee basiiii achaaaa.kumbe ndo upumbavu alikuwa akifanya...mimi sikuweza jamni kuangalia uwiiiiiiii niliomba mtu aangalie then anisimulie...mwili wote umeanza kunisisimka mamaaaaaaaa.

Kweli huwezi mridhisha mwanaume hasilani.bora ubaki hivyo hivyo...aise bora usingenikumbusha kabisa
 
Weweeeeee basiiii achaaaa.kumbe ndo upumbavu alikuwa akifanya...mimi sikuweza jamni kuangalia uwiiiiiiii niliomba mtu aangalie then anisimulie...mwili wote umeanza kunisisimka mamaaaaaaaa.

Kweli huwezi mridhisha mwanaume hasilani.bora ubaki hivyo hivyo...aise bora usingenikumbusha kabisa
Hatari sana!

Kuwa natural tu inatosha...kama wadada wa kisabato!

Hawanaga mambo mengi
 
Hatari sana!

Kuwa natural tu inatosha...kama wadada wa kisabato!

Hawanaga mambo mengi
Kumbe na wewe unawapendaga ee.aise nikimuona mwanamke anashort hair uwiii huwa ninamfurahiaga sana.awe black kiasi,anavaa nguo za heshima no hiyo sijui mishedo si jui mi mimake up.siishi hamu kumwangalia
 
Kumbe na wewe unawapendaga ee.aise nikimuona mwanamke anashort hair uwiii huwa ninamfurahiaga sana.awe black kiasi,anavaa nguo za heshima no hiyo sijui mishedo si jui mi mimake up.siishi hamu kumwangalia
Vitu asilia vitamu sana!

Hakuna mwanaume anapenda kuwa na mwanamke ambae anapenda vitu fake.

Sema huwa tunashindwa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom