Usafi jiji la kimataifa la Arusha

Usafi jiji la kimataifa la Arusha

Watu wa Arusha inaonekana hawajazoea Arusha kuitwa jiji. Naona hapa wanajipima kuipita Moshi wakati washindani wao kwa mambo ya usafi ni majiji. Inawezekana kabisa Moshi unaweza kuwa bora kupita manispaa na majiji yote lakini Arusha hata kwa majiji bado.
 
Mkuu, ukweli ni ukweli tuu hata kama ni mchungu. Tusitumie umasikini kama kinga ya kufanya mambo kiholela.









Lazima ufurahi wanyonge kuendelea kukandamizwa kwenye nchi yao na wenye madaraka!!




Sidhani kama ungekuwa na mzazi, ndugu au jamaa yako anayejihusisha na hii shughuli ungefurahia jambo hili!!
 
Bado boda boda....Zipo nyingi katikati ya mji na wanafujo sana kwani hawafuati sheria za barabarani...
 
Back
Top Bottom