Inaonesha Mataifa ambayo Marekani iliyashambulia toka vita kuu ya pili ya dunia hadi sasa!! China ilikuwa inaikebehi Marekani kuwa ilikuwa inaeneza Demokrasia. Kimsingi China inamtetea Urusi kuwa si chanzo cha kukosekana amaqni duniani bali ni marekani, na ushahidi ni mkeka huo hapo juu.