bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
nashangaa kuna watu natetea ujinga eti iran ni moto marekani akivamia atakiona cha moto, watu wakishaanza kupigika ndo haohao utawaona wanaanza kulalamika, wakat marekani anasema ataivamia iraq watu walikua wanacheka kua mbona unasema tu nenda ukachapwe, walipoenda kila mtu alianza kulia apa kichapo kilichokua kinaendlelea