USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,628
Reaction score
14,021
Mheshimiwa maarufu, "Mujtahid," katika Twitter yake vyanzo vya kunukuu vilivyoelezewa na Wizara ya Ulinzi ya Saudi, alisema kuwa Marekani sasa imewaomba Saud Arabia kuandaa maeneo ya kijeshi ya Saudi kutumikia Amerika katika mapambano ya karibu.

Inasemekana USA atashambulia Iran kama sehemu tatu hivi sababu Trump anaruhusiwa kutokana na sheria afanye mashambulizi kiasi kama hakuruhusiwa na congess kwenda vitani, na Iran akijibu hapo ndio itabidi congress wampe Trump green light aingie katika vita kamili na hicho ndio Trump, Natanyahu, MBZ na MBS wanakitaka.

Vita vinakuja katika hizi siku au hii week, kutokana na huyo Mheshimiwa maarufu Mujitahidi, na mara nyingi habari zake huwa za kweli haswa katika habari za Royal family za Saudia na inasemekana ni one of Saudi Royal Family.
 
Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.

Mheshimiwa maarufu, "Mujtahid," katika Twitter yake vyanzo vya kunukuu vilivyoelezewa na Wizara ya Ulinzi ya Saudi, alisema kuwa Marekani sasa imewaomba Saud Arabia kuandaa maeneo ya kijeshi ya Saudi kutumikia Amerika katika mapambano ya karibu.

Inasemekana USA atashambulia Iran kama sehemu tatu hivi sababu Trump anaruhusiwa kutokana na sheria afanye mashambulizi kiasi kama ha kuruhusiwa na congess kwenda vitani, na Iran akijibu hapo ndio itabidi congress wampe Trump greel light aingie katika vita na hicho ndio Trump, Natanyahu, MBZ na MBS wanakitaka.

Vita vinakuja katika hizi siku au hii week, kutokana na huyo Mheshimiwa maarufu Mujitahidi, na mara nyingi habari zake huwa za kweli inasemekaba ni one of Saudi Royal Family.
 
Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.
Hata mimi nadhani kama wewe, lakini huyo Mujitahidi huwa yuko katika watu wakaribu sana na Crown prince wa Saud Arabia. Mara nyingi sana maneno yake huwa ni kweli.

مجتهد يؤكد عن مصادر في وزارة الدفاع السعودية التنسيق مع أمريكا بشكل عاجل لتهيئة المواقع العسكرية لضرب إيران
الجيش السعودي
 
Basi ye adhanie kumsaidia mmarekani kuivamia Iran ni sawa na kumuua Jamal Kashogi.
Hata mimi nadhani kama wewe, lakini huyo Mujitahidi huwa yuko katika watu wakaribu sana na Crown prince wa Saud Arabia. Mara nyingi sana maneno yake huwa ni kweli.

مجتهد يؤكد عن مصادر في وزارة الدفاع السعودية التنسيق مع أمريكا بشكل عاجل لتهيئة المواقع العسكرية لضرب إيران
الجيش السعودي
 
Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.
Mi ndo nakwambia, hakuna cha vita. Watu wameshaona Marekani anaogopa vita. Wakisema waingie vitani Iran itaangamia sana. Iran anataka kujifanya kama Korea kaskazini tu.
 
Hata mimi nadhani kama wewe, lakini huyo Mujitahidi huwa yuko katika watu wakaribu sana na Crown prince wa Saud Arabia. Mara nyingi sana maneno yake huwa ni kweli.

مجتهد يؤكد عن مصادر في وزارة الدفاع السعودية التنسيق مع أمريكا بشكل عاجل لتهيئة المواقع العسكرية لضرب إيران
الجيش السعودي
balaa dogo l[tatokea
 
Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.
Screenshot_20190621-080523.jpeg
 
Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.
Kuna broo wangu yuko Iran kimafunzo ya jeshi nitamuuliza anitonye hali ya mambo ya nguvu ya Iran kijeshi
 
Unafikiri Makombora yanarushwa kama unavyorusha jiwe mtini?
US ana nyuklia na Iran ana nyuklia na wote wana technology ya kurusha na kuzuia makombora. Drone ya US yenye technology ya juu imeshushwa na Iran na hiyo siyo ya kwanza, miaka iliyopita walishawahi kushusha nyingine ila US hakufanya lolote.
 
Back
Top Bottom